Wadau naomba niwasalimu
Kuna huyu dada tulisoma wote high school, hatukuwahi kuwa marafiki wala hatukua na ukaribu wowote, yy alikua msongo sana, ni yeye na kitabu, kitabu na yeye, hata hivyo hakua mzuri kama mabinti wengine, ndio maana wengi hatukuhangaika nae
Yeye aliendelea na chuo, mimi...