Hiyo pesa haitolewi sasa, mpaka mechi zote za makundi zichezwe na ijulikane wa kwanza hadi wa mwisho. Hiyo milioni 600,ni za timu itakayokamata mkia. Yanga wana uhakika wa kuzipata hata kama watakamata mkia, lakini si sasa.
Nimesikitishwa na kinachofanywa na Mkurugenzi mkuu wa Mamlaka ya Viwanja vya ndege Tanzania (TAA) kuwaondoa wafanyakazi wa mikataba bila kuwapa nafasi ya ajira wakati Karibu wote wana sifa za kitaaluma na kazi walizokuwa wanazihudumu. Wengine TAA yenyewe imewasomesha kozi mbalimbali na...
Baadhi ya Watz mnasikitisha sana. Suala la ndege kupata matatizo ya kiufundi ni kitu cha kawaida haijalishi ni pangaboi au jet. Fastjet leo ni siku ya tatu ndo safari zake za kuja Mwanza kwa ndege yao ya usiku ndo zmerudi kwenye ratiba zake za kawaida. Kabla ya hizi siku ndege zao zilipata...
Hello startimes mimi nipo Mwanza lakini Clouds Tv haionekani lakin kwenye vipeperushi inaonyesha kuwa ipo lakin haionekan. Nina king'amuzi cha antena na ninatumia kifurushi cha Mambo
Inaonekana ukawa wana mtindio wa ubongo. Alichosema JK hajaharibu kwa Magufuri bali amemvua nguo EL. Leo tumejua kwnn EL anahusishwa na Richmond. Waliosikiliza hotuba hiyo leo wameujua ukweli juu ya wizi alioufanya mpk akafukuzwa uwaziri mkuu. Ukawa mpeni kura Magufuri acheni kukaririshwa km kasuku
Nawashangaa sana kuwananga wanaoshabikia ccm!! Hivi nchi inaporuhusu mfumo wa vyama vingi c lzm watu wawe kwny itikadi tofauti??
Chaajabu ni kp,ww km unaipenda cdm,baki na cdm yako na wa ccm abaki na ccm yake. Tunachohitaji ninyi cdm mje na hoja yenye mashiko na c kubeza anachokipenda mwenzio...
Kwan kuna ubaya gan kuongelea ya CDM?
Mbn nyie mnapenda sana kuongelea ya ccm,mnakerwa na nini?? Subirini popo awenyee aozeshe dari zenu,c mmependa kuuza chama kwa fisadi??
uko sawa kabisa umeeleweka,lkn hawa Ukawa tatizo hawataki kujenga hoja na kuueleza ukweli,bali wao wanajua kutukana tu na kutetea waliyokaririshwa na viongozi wao!! Kuhama Lowassa wanaona washashinda uchaguzi kumbe lzm wajue kwamba wafuasi wengi wa ccm waliridhishwa na jina la Maguguli kuwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.