Recent content by Developer_tz

  1. D

    Basi la Mwendokasi limeua mtu Kariakoo, Dereva Bodaboda wamshambulia Dereva wa Mwendokasi

    Gerezani au Msimbazi? Enewei naunga mkono hoja barabara ijengewe kingo imebanana sana hapa boda wanapita kama vichaa,Watembea kwa miguu nao wanapita vibaya mno..Jumlisha ule uendeshaji wa Mwendokasi watatuua sana mbwa hawa
  2. D

    App za bure zinaingizaje hela?

    Nipo hapa hutojuta
  3. D

    SI KWELI Lamine Yamal mwenye miaka 17 ana mtoto wa miaka mitatu

    Huyo ni dogo lake fatilia Jua kali achana na mpira hujui kitu sawa?
  4. D

    RC Chalamila: Wafanyabiashara Wadogo wa Simu2000 wafahamu kuwa eneo walilopo ni la Serikali, lazima liendelezwe

    Wengi watamdhihaki ila Yuko SAHIHI dsm kila sehemu wanataka kuweka Mabanda kila sehemu wanataka waifanye ya biashara
  5. D

    Ipi Biashara nzuri kati ya hizi?

    "Kazi kipimo cha utu" Tupambane humuhumu
  6. D

    Ipi Biashara nzuri kati ya hizi?

    Kwa hapa stand wauza chipsi ni wengi mnoo
  7. D

    Ipi Biashara nzuri kati ya hizi?

    Salaam Wakuu!! Ni muda wa kuweka vyeti kabatini na kuamua kuchakalika Sasa katika Elimu niliyopewa ni kuanzisha Biashara unique..Na kuanzisha Biashara unique ni changamoto. Mimi mkazi wa Mwanza nimefanya Tafiti nikagundua Biashara ya supu ya pweza ni adimu sana na hii ni kwasababu ya...
Back
Top Bottom