Recent content by Deus steven

  1. D

    Msaada: Nimekuwa addicted na kuzama chumvini! nashindwa kuacha!

    Acha braza hii kitu ni nzuri kwa kutaka sifa kwa gal wako but hapana ni madhara makubwa sana,,,utapata saratani ya koo na kinywa ambayo aina tiba husababishwa na virus so called HPV very dangerous kwass huwezi kuona madhara coz huanza kuonekana kuanzia umri wa miaka 35 na kuendelea so pliiz...
  2. D

    Kuolewa na mwanajeshi

    Jiandae kuwa maskini au familia kutokuwa na maendeleo,,,,mostly wajeda ni wahuni na walevi na wagumu ktk kufanya maendeleo hii yote kutokana na mfumo wao wa kazi jinsi ulivo but sjui huyo shemeji yetu yukoje,,,,,,,but nyumba bora hujengwa na position ya mwanamke so choice id urs.mchunguze vya...
  3. D

    Mpenzi wangu anataka nimkopeshe laki 8

    Usijitengeneze mazingira ya kuharibu mahusiano yako usimpe iyo ela labda umpe kama kumsaidia tu lakin c kukukopesha pesa ina uma utapata hasira ns mwanxo wa kuvunja penzi
  4. D

    Maneno, Sentensi na Misemo iliyotumika sana Kipindi hiki cha Kampeni.

    Nimejenga barabara km 10000000000000000000
  5. D

    Regina Lowassa on ITV, sikiliza mahojiano

    Lazima aogope kidogo alikuwa anaongea na first lady lazima awe makini pia alikuwa emotional sana coz yeye pia ni.mama yale matatizo yanamgusa coz ni mwanamke pia,,regina lowasa kaongea sensitive sana na kwa akili kubwa
  6. D

    Regina Lowassa on ITV, sikiliza mahojiano

    Uwezo wako wa kufikiri umeishia hapo ndomana umeweka katooni,,jina lenyewe.balotel unategemea utakuwa mzima kichwan mwako
  7. D

    Tutafakari: Lowassa atachokwa Haraka sana na Watanzania Baada ya kuchaguliwa kuwa Rais

    Naona mweshimiwa rais lowassa kama anaujua huu msemo nahisi ndo atakuwa anautumia ktk kufanya maendeleo ‘‘UNDER PROMISE OVER DERIVER‘‘ Hazungumzi mengi ila utekelezaji mkubwa sana lakini wale wenzentu wako upande huu OVER PROMISE UNDER DERIVER ahadi nyingi utekelezaji zero
  8. D

    Tutafakari: Lowassa atachokwa Haraka sana na Watanzania Baada ya kuchaguliwa kuwa Rais

    Haka ka mjadala kazuri sana,,,,,by the way time limit ni.kitu muhimu sana ktk maisha hasa unapotaka kufanya jambo la maendeleo vinginevyo ni ngumu sana kupima maendeleo yako,,lowassa yuko strategically so ataweza.kufanya ivo in one way or another but time limit is very important kuliko huyo...
  9. D

    Lady Jay Dee amka, kiti chako kinataka kuchukuliwa

    Jay dee mtu mwingine.asee hapana,,,,hafai.kufananishwa na v money.pliiiz, v.money kaanza mziki juzi tu 2013/14 achen ufinyu wa kufikiri
  10. D

    Magufuli achapia,amtaka JK apumzike mahali pema peponi

    Huyo kuchapia kawaida yake juzi lindi alichapia tena badala ya vanesa akasema penesa
  11. D

    Magufuli achapia,amtaka JK apumzike mahali pema peponi

    Lindi alichapia tena badala ya kusema vanesa akasema penesa, pia akataja majina hata ya wasanii ambao hawakupata tunzo ahahahhahh rip jk
  12. D

    Haya yamemzika Lowassa kisiasa

    Mtu tajiri ndo tunamtaka
  13. D

    Taarifa kutoka JWTZ kuhusu Jenerali Davis Mwamunyange

    Mhhhhh hamuogopi kukamatwa mwenzenu kashafkishwa mahakaman aliesambaza ujumbe huo
Back
Top Bottom