Zitto ni msaliti, Zitto anapenda sifa, Zitto hasikii, Zitto hawezi kung'ara nje ya CHADEMA, CHADEMA ina watu wengi zaidi ya Zitto ,sasa Zitto kasepa, wameanza kusema ameenda kuvuruga upinzani, ametumwa na CCM kuharibu upinzani, jamani mlitaka aache siasa?
Mlitaka asiwe na chama? Mlitakaje...