Recent content by Designated Savaiva

  1. Designated Savaiva

    Unakumbuka kauli gani chafu iliowahi kukukera ukajiengua from a Toxic partner?

    Hapa ulikuwa Ushamuona Kanisani/Msikitini? Wazazi wake walilipokeaje hili swala? Waliwaita Kikao au ? Move Nzuri sana ulifanya
  2. Designated Savaiva

    Mwanamke akishajua unampenda hakuna rangi utaacha kuiona

    Ukumbuke kuleta feedback asije kuwa wa kimoja tuu anasema kachoka mpumzike Mpaka kesho
  3. Designated Savaiva

    Nihifadhi wapi akiba yangu ya fedha ili nipate faida ya angalau asilimia 10 kwa mwaka?

    Sahihi kabisa Mambo ya kuitana PM kuna kaharufu flani kanakuja na kukataa Ila Vizuri share na Wote kama mtoa mada alivyouliza kwa wote ni public knowledge tuu Au unataka ukamsokote kwa pembeni
  4. Designated Savaiva

    Niulize chochote kuhusu Subwoofer na Sounds system

    Hivi hapa Bongo wapi napata Authorized Dealer wa Soft Sound Kampuni ya vifaa vya Music
  5. Designated Savaiva

    Wazee wa ‘Road Trip’ mpo?

    Mwamba huyo hapo RIP Razack
  6. Designated Savaiva

    Nimerudi home nimemkuta wife anacheza mziki akiwa utupu

    Itakuwa PR White Lodge pale karibu na Meeda
  7. Designated Savaiva

    Yupi bora, mwanaume anayeacha pesa au anayenunua mahitaji yote mwenyewe?

    Nashukuru sana Kiongozi Cha kushangaza Hela anamaliza mapema tuu na Hela ya Saloon utaombwa kila Mwezi Mpaka kuna nafikiri kumuacha tuu. Maana mwaka Juzi ndio nilianza kumpa hela Lumpsum hivo lakini Shida kubwa na inayokatisha Tamaa ni kwamba huwa hasemi Ahsante mpaka leo hii. So sad this...
  8. Designated Savaiva

    Tafsiri ya picha katika ulimwengu wa kiroho

    Hapa waliovaa Tai wote wamebaki ambae hajavaa Tai katangulia mbele ya Haki RIP Kijazi
  9. Designated Savaiva

    Yupi bora, mwanaume anayeacha pesa au anayenunua mahitaji yote mwenyewe?

    Ahsante Mkuu Hakuna nilipozidisha au kupunguza/kubana zaidi? Maoni yako muhimu tafafhali Isije kuwa namtesa Mtoto wa Watu au kumnyanyasa kwa hizo bajeti zangu
  10. Designated Savaiva

    Yupi bora, mwanaume anayeacha pesa au anayenunua mahitaji yote mwenyewe?

    Mimi kipato Changu ni cha kuunga unga Mara nyingi huwa kuna issue nasikilizia. Kila Mwisho wa Mwezi huwa nampa 900,000/= TZS cash kwa Matumizi yafuatayo 1. Chakula cha Mwezi mzima (Mimi + Yeye + Dada wa kazi + Mtoto Mmoja) 2. Bills za Umeme 3. Maji 4. King’amuzi Azam 5. Mshahara wa Dada wa...
  11. Designated Savaiva

    iPhone ni kama gereza la kifahari. Ni kwajili ya fasheni tu, hutaweza kufanya vitu muhimu vifuatavyo...

    Hyo Apple Music Ina nyimbo za kibongo Ina Videos pia au ni audio tuu Unadowloqd Unlimited? Ukiacha kulipia Downloaded Content zinafutika? Kwa Mwezi bei gani?
  12. Designated Savaiva

    Hapa kuna haja ya kuacha pesa ya matumizi?

    Champagnee kwani matumizi yako kwa mwezi yana range kiasi gani? Maana mdau kasema yeye anaacha 1.5m umeshtuka sana
  13. Designated Savaiva

    Ni hasara gani kubwa ulishawahi kuipata ikakurudisha nyuma?

    Pole sana Zeddicus hyo Subaru ni ya Mwaka gani na unaiuza bei gani Kama details unazo na bado haijatoka nichek PM Sent using Jamii Forums mobile app
  14. Designated Savaiva

    Maisha yanaanza kubadilika baada ya kupata mtoto

    Comment nzuri sana Me pia miaka kama mitatu iliyopita nilipata Changamoto kama yako. Wangu nilimuwekea mpaka wadada wa kazi wawili lakini visingizio haviishi Kuwa mkweli nilichepuka live kabisa na mpaka akajua Tuliongea yakaisha na akajirekebisha akili zikamkaa. Chuma hunolewa na Chuma...
Back
Top Bottom