Yani kweli wewe ni boguz tena boguz la kufa mtu umekaa ki udini udini tu yani pitia orodha ya wakuu wa mikoa yote alafu angalia waislam ni wangapi na wakristo ni wangapi ndo utajua wewe ni bogazi bogazi kabisa unanuka udini na ukabila, kama hujui ni kuwa, Idadi ya wakuu wa mikoa wakristo ni...
Mpo nchi gani nyie Ambao mpaka mtumie VPN ndo Youtube na Twitter inafunguka[emoji848][emoji848][emoji848] Mods Moderator huu uzi unapotosha jamii afu bado upo tu
Sasa CCM itoke madarakam alafu chama gani kiingie sasa [emoji15][emoji15]Sijaona chama cha upinzani ambacho kipo tayari kuongoza Tanzania kwa maslah ya wa Tanzania [emoji419] Viongozi bora watatoka CCM tu siku zote, Usiku mwema
Kwa Mujibu wa katiba yetu Rais Akivunja bunge tunarudia Uchaguzi wa Rais na Mbunge sasa Samia haezi kubali hayo Bado hajajitengeneza na kujiimarisha vizuri kisiasa Ajaweka Alama yake bado so Anaeza akazaragazwa kwenye Uchaguzi wa Marudio So Hapo hakuna jinsi Tusubiri 2025 au lolote litakalotokea...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.