Habari za mchana ndugu zangu.
Kama nilivyoalindika kichwa hapo juu, hivi siku hizi kuna mwanaume anaeweza kujamiana na mwanamke raundi ya kwanza wastani wa saa moja?
Maana mbona kuna malalamiko mengi siku hizi zihusizo nguvu za kiume kupungua?😠
Salaam.🙏
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.