Forums
Trending
New Posts
Log in
Register
Style variation
System
Light
Dark
Trending
Search
Search
Search titles only
Note
By:
Latest activity
Register
Our Community
JamiiCheck
FichuaUovu
Stories of Change
Start Discussion
Coming Soon
JamiiCourses
JamiiData
JamiiShop
Premium Content
Regional Communities
Coming Soon
Tanzania
Uganda
Kenya
Rwanda
DRC
Zambia
Zimbabwe
Menu
Log in
Register
Navigation
More options
Style variation
System
Light
Dark
Contact us
Close Menu
JavaScript is disabled. For a better experience, please enable JavaScript in your browser before proceeding.
You are using an out of date browser. It may not display this or other websites correctly.
You should upgrade or use an
alternative browser
.
DeoMic
Recent content by DeoMic
JamiiForums Tanzania
Acha kuuza mchanganyiko unapoteza muda, akili na Pesa zako, shtuka
Hiyo haiwezekani, ni lazima vyakula viwe mchanganyiko
DeoMic
Post #30
Jul 5, 2026
Forum:
Biashara, Uchumi na Ujasiriamali
JamiiForums Tanzania
Wanaume wenzangu mnisaidie naenda kupoteza mchumba
Umeua mzeee
DeoMic
Post #22
Jul 5, 2026
Forum:
Mahusiano, mapenzi, urafiki
JamiiForums Tanzania
Watu wa Afya tuchukue lipi mbona kila chakula hakifai kwa mujibu wenu? Nyie huwa mnaishije?
Mwenye majibu haya ni yule Profesa aliyeteuliwa makao makuu ya nini, nimesahau.
DeoMic
Post #4
Apr 4, 2026
Forum:
Habari na Hoja mchanganyiko
JamiiForums Tanzania
Tanzania yaomba msaada China kukamilisha ujenzi wa miundombinu ya AFCON 2027
Ni baada ya mirija ya mabeberu kukata.
DeoMic
Post #70
Feb 11, 2026
Forum:
Habari na Hoja mchanganyiko
JamiiForums Tanzania
Iran - Nchi inayohofiwa zaidi ulimwenguni na Marekani kuliko Taifa lolote lile duniani
Nchi ambayo, raisi mwenye nchi ambayo inajulikana ndio yenye nguvu, fedha, teknolojia na intelejensia kubwa duniani (Trump) anaogopa itamuua. 😂😂😂😂😂
DeoMic
Post #4
Jan 26, 2026
Forum:
International Forum
JamiiForums Tanzania
SI KWELI
Uume wa mtoto ukidondokewa na kitovu chake huacha kusimama
Na hapo hapo ukivaa nguo nyekundu unapigwa radi.
DeoMic
Post #55
Jan 25, 2026
Forum:
JamiiCheck
JamiiForums Tanzania
SI KWELI
Uume wa mtoto ukidondokewa na kitovu chake huacha kusimama
Ulishuhudia wapi?
DeoMic
Post #53
Jan 25, 2026
Forum:
JamiiCheck
JamiiForums Tanzania
Nina haki kama binadamu ya kupenda tena
😅😅😅😅😅
DeoMic
Post #175
Jan 25, 2026
Forum:
Mahusiano, mapenzi, urafiki
JamiiForums Tanzania
Mabadiliko ya kweli Tanzania yatapatikana iwapo tu viongozi waliofanya mauaji watashtakiwa ICC na Mahakama nyinginezo za nje
Ikiwa tu Watz wataungana na wakuwa wamoja na kuweka tofauti zao pembeni, kwa kufanya hivi haya yote yatawezekana.
DeoMic
Post #5
Jan 13, 2026
Forum:
Jukwaa la Siasa
JamiiForums Tanzania
Uchumi wa Tanzania unaangamia kwa siasa za uchawa
Tuliambiwa mabeberu wanatuonea wivu, sasa imekuwaje? Siasa kwenye masuala ya uchumi hazifai sana.
DeoMic
Post #6
Jan 13, 2026
Forum:
Jukwaa la Siasa
JamiiForums Tanzania
Sijawahi kuona kampuni mbovu kama Star Times
Hakuna kampuni iliyobora, kampuni zote ni yaleyale tu.
DeoMic
Post #13
Jan 1, 2026
Forum:
Habari na Hoja mchanganyiko
JamiiForums Tanzania
GE2025
Waliohamia CHAUMMA warudi CHADEMA na kuomba viongozi wawapokee
Wamekosa maslahi kule, wakaanzishe chama chao kipya
DeoMic
Post #52
Aug 25, 2025
Forum:
Jukwaa la Siasa
JamiiForums Tanzania
Wanawake wana kitu inaitwa (Emotional Bonding) ,hii hasa ndo sababu ni ngumu single mothers kuacha kuwasiliana na Baba mtoto wake au X wake.
Ipo siku mtakutana tu.
DeoMic
Post #23
Aug 25, 2025
Forum:
Mahusiano, mapenzi, urafiki
JamiiForums Tanzania
Licha ya Tanzania kutajwa kuwa na Viwanda 28,000 ila hatumo kwenye orodha ya Nchi 10 Za Viwanda Africa. Tumezidiwa na Zambia, Tunisia n.k
Mara hii mmesahau! Tanzania ina nini kuliko USA na ULAYA?
DeoMic
Post #20
Jun 20, 2025
Forum:
Jukwaa la Siasa
JamiiForums Tanzania
TANZIA
Mkurugenzi wa Idara ya Mawasiliano ya Ikulu ya Zanzibar, Charles Hillary afariki dunia
Mwendo umeumaliza nasi tupo nyuma yako twaja.
DeoMic
Post #191
May 11, 2025
Forum:
Habari na Hoja mchanganyiko
DeoMic
Our Community
JamiiCheck
FichuaUovu
Stories of Change
Start Discussion
Coming Soon
JamiiCourses
JamiiData
JamiiShop
Premium Content
Regional Communities
Coming Soon
Tanzania
Uganda
Kenya
Rwanda
DRC
Zambia
Zimbabwe
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.
Accept
Learn more…
Back
Top
Bottom
Menu
Forums
New posts
Log in
Register