Kama uteuzi umetenguliwa kwa sababu so kada wa ccm, basi uteuzi umelenga uchaguzi mkuu wa 2020. Lakini mkuu wa kaya alisisitiza kuwa siasi ziwekwe kando hadi 2020. Au in ile tafsiri ya siasa maana yake ni: si hasa?
Nikizinduka usingizini najikuta macho ni makavu sana (dry eyes). Ili niweze kuona inanibidi nisubiri kwa muda wa dakika Moja hivi ndio macho yanarudia hali yake ya unyevu. Huu ni ugonjwa gani na tiba yake ni nini?
Mleta mada anadhihirisha chuki aliyonayo kwa JK kwani mapungufu aliyotaja ni ya kutengeneza na wala hayana uhalisia wowote. Aidha mleta mada ametumia nguvu nyingi kutengeneza mapungufu ya the great leader of Africa. Wakenya wanastruggle hadi leo kufuta ukabila nchini mwao, kitu ambacho...
Mtu anaejipendekeza ili apate cheo ni hatari sana. Kwanza alijipendekeza kwa kuvuruga mdahalo wa Katiba mpya. Lakini pia alijipendekeza kwa kufunga kamba za viatu vya mtoto wa rais!
Kwa kawaida, changamoto zinapokuwa kubwa na nyingi, ndio mafanikio yanakuwa makubwa. So mimi najua cdm na upinzani kwa ujumla utaimarika zaidi na zaidi. Bravo upinzani.
Mimi namshangaa Magu kumponda rais mstaafu(Kikwete) Kuwa katika serikali yake alikuwa amezungukwa na wanafiki. Lakini ukiichambua kwa makini serikali ya Magu akiwemo Kigwa utagundua kuwa imesheheni wanafiki kuliko serikali ya Kikwete.
Mimi sishangazwi na kubainika kwa Makamba kuwa mpiga dili ikulu. Sishangazwi kwa sababu yeye amekuwa akijigamba kuwa ana uzoefu wa muda mrefu ikulu. Tukumbuke kuwa awamu zote mbili: za Mkapa na Kikwete zilisheheni wapiga dili.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.