Masoud Kipanya atabiri hali mbaya kwa CHADEMA

Masoud Kipanya atabiri hali mbaya kwa CHADEMA

Jamaa kawa mtabiri siku hizi namshauri aendelee kuchora katuni tu ili apate mkate wake wa siku.
 
Kuna mwaka wowote ule mwana ccm aliwahi kuitabiria mazuri cdm? Au kuna mwaka mwana ccm aliwahi kuipongeza cdm?hizo ni bhangi na muendelezo wa kujipendekeza kwa watawala ili kupewa nafasi za kazi kwa huruma
Sawa, nimekuelewa lakini Unawaonaje wapiga kura jinsi wanavyo swing na upepo?! Ndo wasi wasi wangu.
 
Jamaa kawa mtabiri siku hizi namshauri aendelee kuchora katuni tu ili apate mkate wake wa siku.
Teeeeeeeeh teeeeeeeeh, mkuu naona hata hiyo biashara imeshapa ushindani sasa kaamua kutafuta kazi mbadala
 
Sawa, nimekuelewa lakini Unawaonaje wapiga kura jinsi wanavyo swing na upepo?! Ndo wasi wasi wangu.
Mkuu unavyosema ku swing nashindwa kukuelewa hivi nilini ktk historia ya vyama vingi toka mwaka 1995 vyama cdm imeshuka na kushindwa kuongeza idadi ya viti vya ubunge?
 
Mimi nakubaliana na kipanya kwa asilimia zote! Unajuwa agenda kubwa ya upinzani iliyowafanya wakubalike kwa watanzania walio wengi hasa vijana ni Rushwa, Ufisadi na matumizi mabaya ya mali za umma. Sasa tangu Lowasa aingie upinzani hoja ya upinzani iligeuka gafla ikawa ndiyo hoja ya Dr John Pombe Magufuli na siyo ccm. Na tangu aingie madarakani amejaribu sana kushughurikia mambo yote yalioonekana ni kikwazo kwa wananchi na ambayo kimsingi watanzania wanayataka, mpaka sasa wapinzani hawana hoja na agenda ya kusimamia tena inayoweza kuwashawishi wananchi kama ilivyokuwa rushwa na ufisadi. Wasipojipanga watapoteza majimbo zaidi ya asilimia 80%

Ni kweli kwamba Lowassa alivyoingia CHADEMA mafisadi yote yamehamia CHADEMA? hebu tupe mifano ya mafisadi ambao JPM ameyatumbua huko CHADEMA hivi karibuni?
 
Hahaaaa,nmecheka sana,,mtabiri wassira hajawa mfano tuu,???!kwa mtini wapaswa kujifunza!yukwapi wassira????!
 
Kwa kawaida, changamoto zinapokuwa kubwa na nyingi, ndio mafanikio yanakuwa makubwa. So mimi najua cdm na upinzani kwa ujumla utaimarika zaidi na zaidi. Bravo upinzani.
 
tafsiri ya mchoro ni kwamba chadema kushika dola 2020 ni ngumu kama kupandisha mlima, hali hiyo ni kutokana na wananchi wengi kumwelewa Rais Magulifu kasi ya utendaji wake umedhihirisha kwamba ana nia ya kutukomboa watanzania.
 
Mchora katuni maarufu nchini Masoud Kipanya ametoa mchoro ambao unaonyesha Basi lenye rangi kama zile za CHADEMA likiwa njiani kuelekea 2020. "point" ya msingi katika katuni hii ni jinsi Kipanya alivyoonesha 2020 kuwa ni MLIMA MKUBWA NA PENGINE USIOPANGIKA KWA CHADEMA. Je huu ni utabiri wa anguko lingine la upinzani 2020
1458028849757-jpg.329866
Amuilize wasira aliyesema chadema itakufa kabla ya mwaka 2015 na wala haikufa akafa yeye.
 
2020 CCM inatupia kama goli halina kipa vile
 
Mimi nakubaliana na kipanya kwa asilimia zote! Unajuwa agenda kubwa ya upinzani iliyowafanya wakubalike kwa watanzania walio wengi hasa vijana ni Rushwa, Ufisadi na matumizi mabaya ya mali za umma. Sasa tangu Lowasa aingie upinzani hoja ya upinzani iligeuka gafla ikawa ndiyo hoja ya Dr John Pombe Magufuli na siyo ccm. Na tangu aingie madarakani amejaribu sana kushughurikia mambo yote yalioonekana ni kikwazo kwa wananchi na ambayo kimsingi watanzania wanayataka, mpaka sasa wapinzani hawana hoja na agenda ya kusimamia tena inayoweza kuwashawishi wananchi kama ilivyokuwa rushwa na ufisadi. Wasipojipanga watapoteza majimbo zaidi ya asilimia 80%

Kumbuka kuwa mwanadamu ana hulka ya kuchoka na kutaka zaidi!! Itabidi waimprove na kuchange strategies over a period.

Kwa mtazamo wa kawaida tu mpaka sasa Magufuli hajafanya kitu chochote cha kuweza kunconvince watu kuwa anapigana na kupambana na rushwa. Anachokifanya mpaka sasa ni kuhamasisha au kuhakikisha utendaji kazini. Hapo anaonekana kufanikiwa!! Anakusanya kodi kuliko siku za nyuma!! Ila hao waliotumbuliwa mpaka sasa ni kwa ajili ya utendaji mbovu (under performance) tu au ni strategically na siyo ufisadi!! Kama niko wrong naomba unitajie mtu anayeshitakiwa kwa Rushwa au Uhujumu uchumi!! Probably, I have missed some news!!

Kwa Kiongozi anayepiga vita rushwa mpaka sasa kungekuwa na mafile ya nyuma kama Richmond, Meremeta, EPA, Mikataba mibovu au Escrow n.k. yangeshaanza kushughulikiwa. Kukaa kwake kimya mpaka sasa kuhusu haya kunatia mashaka kama ataweza kuwachukulia hatua wahusika!!

Ukweli Rais ameonyesha kwenye hotuba zake kuwa ana uchungu na nchi na ana hasira na watu waliokuwa wameifanya nchi ni shamba la bibi, kama alivyosema mwenyewe. Ila vita hii siyo rahisi na ndiyo maana ameomba tumuombee. Kama haiwezi anaweza pia kufanya Reconciliation kama Mandela (RIP) alivyofanya kwa Makaburu ......... then tukaanza kudeal na wanaochipukia badala ya kuleta siasa!!
 
Huu mlima mbona haupandiki hata iwaje!!! Inamaanisha kuwa Chadema watakuwa waneanda hapo panapoanzia mlima then gali yao itashindwa kupanda halafu itarudi tena nyuma kuanza safari upyaaaaa
Mlima huo kwake binafsi, ukijumlisha na wale 46, wa buku saba wamefikia wangapi vile?
 
Back
Top Bottom