Sijaelewa, ametoa taaarifa, amelalamika au vipi? Tufanyenje?
Uhakika wa kumuunga mkono kwetu aonyeshe hasira yake na kuchukizwa kwa kuhujumiwa namna hii kwanza kwa kuwanyonga wote waliohusika na suala hili. Hapo tu tutamwamini. Vinginevyo............
Duh, unashindwa mchezo wa kuigiza? Pole. Kama atamaanisha atashindwa hasa akiwaingilia wale wa zamu yao. Pia uelewe mafisadi kama mafia hupambana kwa families zao. Safari hii hii vita imekuwa motto ya kuingilia. Usijali
Kunatofauti kubwa kati ya factory na industry. Wataalamu wadadavue. Mfano Kiwanda changuo haiwezi itwa factory inaitwa industry mfano mwatex, urafiki nk. Lakini cha sabuni pekee huitwa factory. Workshop inakazi tofauti nayo inaweza kuwa ndani ya factory au industry. Wataalamu njoni. Kuwa na...
Safi sana.
Lakini Je nani anagharimia vita vya IS? Ni yepi mahusiano yao na Israel?
Interests za UK na France ni zipi?Interest ya Bomba la gesi ni kwa ulaya nzima nahata kwa Iran pia.
UK ni wafitini wakubwa wakisaidiwa na Ufaransa suala la matumizi ya sumu inawezekana si kweli kabisa. lakini...
Hali ya Syria inaendeshwa kwa fitna kubwa. Mimi binafsi siamini kama Syria wala washirika wake Urusi na Iran wamefanya hivyo. uwezekano mkubwa ni wapambe wa NATO na Israel ndio wahusika. Uingereza mara nyingi imeikomalia urusi na hasa matamshi ya mara kwa mara ya waziri wa mabo ya nje. hata sumu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.