Dr. Bashiru atashindwa kama alivyoshindwa mwenzake Dr. Mukama

Quinine

JF-Expert Member
Jul 26, 2010
21,271
47,271
Katika historia ya CCM haijawahi kutokea kuwa na Katibu Mkuu aliye 'underperform' kama mzee Wilson Mukama. Mbali ya kupewa sifa kemkem na wanaCCM kwa usomi wake kama anavyopewa leo Dr. Bashiru Ally sidhani kama Mukama alimaliza hata mwaka mmoja kwenye kiti hicho.

I can predict the same.

Pamoja na uchambuzi wake wa masuala ya siasa Bashiru hakijui chama kama alivyo kuwa anakijua Makamba, Mukama au Kinana.

Mukama alipoingia, assignment yake ya kwanza ilikuwa kuyavua magamba yaliyogomea kiunoni, akaingia kichwa kichwa hakujua mizizi ya magamba kwenye chama ilikuwa imejichimbia kiasi gani, magamba yakamzidi nguvu yakamvua yeye instead, kazi iliyokuja kufanywa na Kinana akisaidiana na Nape kwa akili kubwa.

This time Bashiru kama ilivyokuwa kwa Mukama, assignment yake ya kwanza ni kusafisha chama kujua madeni ya chama, miradi ya chama nani anahodhi mali za chama, kuondoa ufisadi na mafisadi ndani ya chama. Nakiona ni kipindi kigumu sana kwake ukilingansha na kipindi cha Mukama.

Wakati ule wa kujivua magamba angalau yalijulikana wazi hayakuzidi matatu au manne, tofauti na idadi ya sasa ya mafisadi yaliyomo ndani ya chama wengine wakiwa ni viongozi wakuu wa chama waliomuachia kiti, kwa maana hiyo akitaka kukisafisa chama ataondoa zaidi ya nusu ya viongozi wa CCM, kitu ambacho kwangu nakiona kama assignment ngumu kuliko ya Mukama.

Kitu kitakacho msaidia Bashiru kubaki salama ni kutoendelea kutekeleza yaliyomo kwenye ripoti yake aliyomkabidhi mkiti wake juzi vinginevyo akijifanya amekuja kusafisha mafisadi atasafishwa yeye kama alivyosafishwa Dr. Mukama.

Ni hayo tu kwa leo ila muda ni mwalimu mzuri sana huwa hadanganyi, let's wait and see.
 
Kwani tangu lini Dr Bashiru Ally alikuwa mwana ccm? Na kwanini NEC impitishe mtu ambaye hajawahi kuwa mwanachama wake? Je ni njia ya wanachama kumwachia/kumsusia mwenyekiti afanye anavyotaka na sio chama na kanuni zinavyotaka? Niende mbali zaidi kuuliza, mwenyekiti alikuwa mwanachama waccm kuanzia lini? Polepole alikuwa mwanachama kuanzia lini?

Ukijibu maswali haya utapata taswira ya kitakachoendelea! Sio kizuri.
 
Kwani tangu lini Dr Bashiru Ally alikuwa mwana ccm? Na kwanini NEC impitishe mtu ambaye hajawahi kuwa mwanachama wake? Je ni njia ya wanachama kumwachia/kumsusia mwenyekiti afanye anavyotaka na sio chama na kanuni zinavyotaka? Niende mbali zaidi kuuliza, mwenyekiti alikuwa mwanachama waccm kuanzia lini? Polepole alikuwa mwanachama kuanzia lini?

Ukijibu maswali haya utapata taswira ya kitakachoendelea! Sio kizuri.
Kwani Mashinji alijiunga lini Chadema?....... Mgombea urais na mgombea mwenza walijiunga lin?.....mbona waliwaongezea idadi ya wabunge 2015!!!
 
Kazi yetu ni kusema, Dr.Mukama mlikuwa mnamsifia hivi hivi tukawaambia lile ni bomu haikupita miezi sita mkamtimua, leo tena nawaambia Bashiru ni bomu hazijui siasa za majukwaani.
Kama dr. Mashinji licha ya kufeli zaidi ya kufeli ila bado anadunda, sioni tatizo kwa huyu.
 
Back to the topic, Bashiru ni bomu linalosubiri kulipuka.
Mimi nadhani wakati huu ndio mwafaka sana wa watu wenye falsafa za kijamaa kama Dr Bashiru Ally kufanya kazi ndani ya CCM na kupata matokeo makubwa. Mukama alishindwa kutokana na uongozi wa juu wa chama uliokuwepo kwa kipindi kile.

Kwa wakati huu nani aliyewahi kufikiria vigogo kama kina Madabida, Sophia Simba na Hata Nchimbi watapewa adhabu na chama kwa ile tu kuonyesha msimamo wa kumuunga mkono mmojawapo wa mgombea?

Hata wakati kina Mangula walipotaka kutatua mgogoro kati ya Meya wa Manispaa ya Bukoba bwana Amani na aliyekua Mbunge wa jimbo hilo na Waziri wa Maliasili wa wakati huo Bwana Kagasheki ilishindikana sababu hawakupata support ya mwenyekiti, lakini sio kipindi hiki,Mwenyekiti hacheki na wababaishaji, naamini Bashiru Ally ata perform
 
Katika historia ya CCM haijawahi kutokea kuwa na Katibu Mkuu aliye 'underperform' kama mzee Wilson Mukama. Mbali ya kupewa sifa kemkem na wanaCCM kwa usomi wake kama anavyopewa leo Dr. Bashiru Ally sidhani kama Mukama alimaliza hata mwaka mmoja kwenye kiti hicho.

I can predict the same.

Pamoja na uchambuzi wake wa masuala ya siasa Bashiru hakijui chama kama alivyo kuwa anakijua Mukama.

Mukama alipoingia assignment yake ya kwanza ilikuwa kuyavua magamba yaliyogomea kiunoni, akaingia kichwa kichwa hakujua mizizi ya magamba kwenye chama ilikuwa imejichimbia kiasi gani, magamba yakamzidi nguvu yakamvua yeye instead, kazi iliyokuja kufanywa na Kinana akisaidiana na Nape kwa akili kubwa.

This time Bashiru kama ilivyokuwa kwa Mukama, kaingia kipindi cha kusafisha chama kuondoa ufisadi na mafisadi ndani ya chama, nakiona ni kipindi kigumu ukilingansha na kipindi cha Mukama.

Wakati wa ule wa kujivua magamba angalau yalijulikana wazi hayakuzidi matatu au manne, tofauti na idadi ya sasa ya mafisadi yaliyomo ndani ya chama, kwa maana hiyo akitaka kusafisa ataondoa zaidi ya nusu ya viongozi ndani ya chama, kitu ambacho kwangu nakiona kama assignment ngumu kuliko ya Mukama.

Kitu kitakacho msaidia Bashiru kubaki salama ni kutoendelea kutekeleza yaliyomo kwenye ripoti yake aliyomkabidhi mkiti wake juzi vinginevyo akijifanya amekuja kusafisha mafisadi atasafishwa yeye kama alivyosafishwa Dr. Mukama.

Ni hayo tu kwa leo ila muda ni mwalimu mzuri sana huwa hadanganyi, let's wait and see.

Haya ni majungu hakuna la zaidi...mnapenda sana kuona mtu aharibikiwe mpate cha kuongea...huu ndo uchawi wenyewe
 
Katika historia ya CCM haijawahi kutokea kuwa na Katibu Mkuu aliye 'underperform' kama mzee Wilson Mukama. Mbali ya kupewa sifa kemkem na wanaCCM kwa usomi wake kama anavyopewa leo Dr. Bashiru Ally sidhani kama Mukama alimaliza hata mwaka mmoja kwenye kiti hicho.

I can predict the same.

Pamoja na uchambuzi wake wa masuala ya siasa Bashiru hakijui chama kama alivyo kuwa anakijua Mukama.

Mukama alipoingia assignment yake ya kwanza ilikuwa kuyavua magamba yaliyogomea kiunoni, akaingia kichwa kichwa hakujua mizizi ya magamba kwenye chama ilikuwa imejichimbia kiasi gani, magamba yakamzidi nguvu yakamvua yeye instead, kazi iliyokuja kufanywa na Kinana akisaidiana na Nape kwa akili kubwa.

This time Bashiru kama ilivyokuwa kwa Mukama, kaingia kipindi cha kusafisha chama kuondoa ufisadi na mafisadi ndani ya chama, nakiona ni kipindi kigumu ukilingansha na kipindi cha Mukama.

Wakati wa ule wa kujivua magamba angalau yalijulikana wazi hayakuzidi matatu au manne, tofauti na idadi ya sasa ya mafisadi yaliyomo ndani ya chama, kwa maana hiyo akitaka kusafisa ataondoa zaidi ya nusu ya viongozi wa CCM, kitu ambacho kwangu nakiona kama assignment ngumu kuliko ya Mukama.

Kitu kitakacho msaidia Bashiru kubaki salama ni kutoendelea kutekeleza yaliyomo kwenye ripoti yake aliyomkabidhi mkiti wake juzi vinginevyo akijifanya amekuja kusafisha mafisadi atasafishwa yeye kama alivyosafishwa Dr. Mukama.

Ni hayo tu kwa leo ila muda ni mwalimu mzuri sana huwa hadanganyi, let's wait and see.


Duh, unashindwa mchezo wa kuigiza? Pole. Kama atamaanisha atashindwa hasa akiwaingilia wale wa zamu yao. Pia uelewe mafisadi kama mafia hupambana kwa families zao. Safari hii hii vita imekuwa motto ya kuingilia. Usijali
 
Mimi nadhani wakati huu ndio mwafaka sana wa watu wenye falsafa za kijamaa kama Dr Bashiru Ally kufanya kazi ndani ya CCM na kupata matokeo makubwa. Mukama alishindwa kutokana na uongozi wa juu wa chama uliokuwepo kwa kipindi kile. Kwa wakati huu nani aliyewahi kufikiria vigogo kama kina Madabida, Sophia Simba na Hata Nchimbi watapewa adhabu na chama kwa ile tu kuonyesha msimamo wa kumuunga mkono mmojawapo wa mgombea?
Hata wakati kina Mangula walipotaka kutatua mgogoro kati ya Meya wa Manispaa ya Bukoba bwana Amani na aliyekua Mbunge wa jimbo hilo na Waziri wa Maliasili wa wakati huo Bwana Kagasheki ilishindikana sababu hawakupata support ya mwenyekiti, lakini sio kipindi hiki,Mwenyekiti hacheki na wababaishaji, naamini Bashiru Ally ata perform
This analysis is from a mature and intelligent person
 
Back
Top Bottom