Recent content by deo paul555

  1. D

    Kisimbuzi cha dish na kisimbuzi cha Antena

    Ahsante sana kuna vitu nimefaidi hapa, swali transmitter (minara) ya radio hutofautiana nguvu mfao tunakwenda km 50 lakini kV 1000 au km 50 kv 500?, nimeuliza hivi kuna radio nguvu zao za usikivu ni mdogo mno kuliko nyingene kwanini?
  2. D

    Kisimbuzi cha dish na kisimbuzi cha Antena

    Ahsante sana,kumbe ndio maana mikutano ya live wengi hushindwa, hivi kinachofanya studio ya tv mlaji upate picha nzuri ni camera za studio au vitu gani lazima viwe viwepo? Nini tofauti ya sauti kwenye mp 3 na mp4 hivi navyo sivielewi vizuri
  3. D

    Kisimbuzi cha dish na kisimbuzi cha Antena

    Hakika wewe brother ni mtaalamu,elimu yako imetufaa mamumaa wengi ahsante sanaaaa,je gharama matangazo ya live kwenye tv bei huwaje km mikutano hivi au kongamano? Ahsante umenijuza mengisanaaa
  4. D

    Kisimbuzi cha dish na kisimbuzi cha Antena

    Swali langu,masafa yao mpaka apate mwenye kisimbuzi wao hawawajibiki kua na masafa ya satellite?
  5. D

    Kisimbuzi cha dish na kisimbuzi cha Antena

    Ahsante sanaaaaaa,kumbe FTA ina misingi yake.pia chanel za pay mfano upendo tv wanawajibika kua masafa ya satellite kama walivyo wa FTA?
  6. D

    Kisimbuzi cha dish na kisimbuzi cha Antena

    Ahsante mhandisi,hivi bongo sheria ya tv ya FTA zimefika ukomo zile tano au leseni ya FTA ni gharama mno? Naona tv mpya zote ziko pay tv hebu nisaidie hilo
  7. D

    Kisimbuzi cha dish na kisimbuzi cha Antena

    Ahaa aisee uko vzr,jee wenye satellite hufaidikia nini ikiwa wanaruhusu watu kupata free?
  8. D

    Kisimbuzi cha dish na kisimbuzi cha Antena

    Ahsante fundi,mfano azam kuna chanel ni bure mfano clouds na upendo ingawa si za bure kwa mujibu wa sheria,je kama sisi tunaona bure yeye azam anapata nini huku si FTA kisheria? Pili hivi chanel za paytv mfano wasafi je azam anawalipa wasafi au wasafi ndio humlipa azam?
  9. D

    Kisimbuzi cha dish na kisimbuzi cha Antena

    Ahsante,hivyo hizo satellite ni bure au gharama ni ndogo tofauti na za pay tv km azam wao hulipa zaidi?
  10. D

    Kisimbuzi cha dish na kisimbuzi cha Antena

    Mfano visimbuzi vile kama strong, Mediacom tulikua tunapata FTA,kama kurusha kwa satellite ni gharama je vile kisimbuzi vinapata masafa kutoka wapi? Harafu mbona chanel ya zbc haiko FTA shida ipi?
  11. D

    Kisimbuzi cha dish na kisimbuzi cha Antena

    Muhandisi hebu saidia hili,startimes wana visimbuzi vya FTA na pay tv,azam zote zina FTA je baada ya antena wao hawawezi zitoa nao au ikoje hii mtaalamu?
  12. D

    Kisimbuzi cha dish na kisimbuzi cha Antena

    Hapa elimu umeitendea haki,mhandisi fursa ya kuuliza kuhusu satellite bado ipo tuendelee?
Back
Top Bottom