Yafaa Lisu atengue hii kauli yake,si nzuri kwa kiongozi kama yeye hizo ni dharau mbaya sana,akumbuke hata jimboni kwake kuna shule za kata je wapiga kura wake wamwelewe vipi?
Bila uwepo wa shule kata vijana wengi wasingefika hata vyuo vikuu,shule hizi angalau hata site wakulima vijijini zimesaidia watoto wetu kusoma.nadhani nwenzetu anaonyesha jeuri ya pesa alionayo na si kushauri sasa.lakini hata wapeleke watoto wao ulaya kama hawajui hawajui tu!maisha itakua sawa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.