Vyakutwanga vianike angali jua lingalipo! 2.mchuzi wa mbwa unywe ungali wa moto. 3. Raha ya sebene mtu uichezee kenele 4. Kina cha fikra hakipimwi kwa kamba. 5. Mchuzi wa kibua mkabidhi mzigua
Mzinzi alihukumiwa kifo, lakini mahakama ikampa nafasi yakuchagua kifo gani afe, mzinzi akasema, nipeni k*ma yenye sumu niinyonye mpaka nife.... JAJI akasema, "kum*m*ko unataka ufe huku unapata raha?
MITOTO MINGINE KWAKUTOPENDA SHULE BWANA
Baada ya mwizi kuvamia nyumba moja usiku na kuiba vitu vingi wakati akijiandaa kuondoka ghafla anadakwa mguu na dogo..
Dogo akamwambia mwizi usipochukua na begi langu la shule NAPIGA KELELE!
mwizi akaduwaaa.
Walevi waliokota kioo
Mlevi mmoja: Kakitizama kioo kwa muda halafu akasema "Hii sura sii ngeni ila jina silikumbuki."
mwenzie akachukua kioo kuangalia
akasema: "We mlevi kwelikweli, si mimi huyu, halafu unajidai hunijui...?
"Dah!...ulevi noma"
MITOTO MINGINE KWAKUTOPENDA SHULE BWANA
Baada ya mwizi kuvamia nyumba moja usiku na kuiba vitu vingi wakati akijiandaa kuondoka ghafla anadakwa mguu na dogo..
Dogo akamwambia mwizi usipochukua na begi langu la shule NAPIGA KELELE!
mwizi akaduwaaa.
Kuna shoga m1 alikua bar anakunywa bia, mara akasikia nyimbo inaimba hv, "wanaume 2meumbwa mateso kuangaika" yule shoga akasema eheee niljua 2 ndio maana nikajtoa uko mapemaaa!!
Baba alimuuliza mwanae nikikupiga huwa hasira zako unamalizia wapi? Namalizia chooni. Huko chooni unamalizia vipi? Huwa nasafisha tundu la choo kwa kutumia mswaki wako unaotumia kila siku! Baba kazimia mpaka leo!....
Madenge alikuwa kwenye basi lenye abiria wengi. majambaz wakawavamia na kuwapora simu na usipotoa "una chomwa sindano ya damu ya ukimwi" watu waka toa lakin madenge hakutoa akachomwa ile sindano watu waka muuliza mbona umekubali? akajibu" "WALIKUWA HAWAJUI KAMA NIMEVAA KONDOM.! ! ! ! !
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.