Kwahy mdada anatakiwa akae nyumbani awe anasubiria mshahara wa mume? Ikiwa alikuwa ashatafuta nafasi na akapata? Aiache kwasababu gani? Na huyo kaka umeskia anaenda kusoma nje ya nchi, ikitokea akapata mchumba mwingine huko yy huyu wa huku atabakije?
Kuna kitu hakipo sawa, jaribu kumfatilia zaidi! Na ikibidi mpigie simu nyakati mbaya ! Yn usiku mnene uone atapokea? Na je atakuwa huru kuongea?! Utapata jibu sahihi.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.