Mtu mwenye namba tajwa hapo juu ni tapeli kwani leo mchana ametuma msg kwangu kama inavyosomeka hapa chini;
''hello am Mr. Frank from verju supermarket Dsm, tupo kwenye kikao tunapitia cv za kuinterview for cashier post, cv yako ni nzuri, nataka nikusaidie upate kazi kwa masharti yafuatayo...
Ha ha ha ha haaaa! huyo mzee wa division 5 sijui anasubiri nn me hata simwelewi na yule mwenzake aliyeshindwa kufanya presentation huko nje! aibu sana hawa mawaziri mizigo kwelikweli. umemsahau na yule mama wa tamisemi aliyeshindwa kupambana na ubadhirifu katika halmashauri.
jamaa hawaeleweki hao hata tangazo lao la nafasi ya cashier linakinzana nimeshindwa kutofautisha haya maneno "overqualified applicants will not be considered" na "higher qualification will be considered". kiufupi hao jamaa wazushi sana nafasi zao ni za upendeleo.
wataje kiongozi wamezoea hizi ni zama za ukweli na uwazi, lakini tutafika tu pindi tutakapopata viongozi wenye nia ya kweli ya kutukomboa sisi wanyonge
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.