Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Duh! Hadi rais naye ni mzigo!Tunaweza tukafuta mawaziri mpaka basi, Rais ni mzigo.
naungana na wewe, dhamira ya kagasheki ni safi kabisa lakini kuna mijitu milafi na haina mwiko katika kuhujumu waliasili ndio wako front kuendesha hili zoezi na nuda si mrefu maliasili tutaishiwa na tutamkumbuka kagashekimkuu wewe ni mstaarabu.ni hivi chini ya kagasheki kuna maofisa wa wizara wakuu wa polisi wakuu wa mikoa na wakuu wa wilaya na wengine kibao.waziri hakuusika diretly kuuwa watu.na kubaka watu ila kwakua yeye ndo waziri imemlazimu ajiuzulu na ni jambo la kawaida.sijasoma repoti ila predictions ni mbili zoezi limefanyika bila umakini Au limehujumiwa na majangiri.kwa vyovyote vile waziri lazima awajibike.mfumo ni mbovu
Rushwa imetajwa kuhusika kikamilifu sasa jiulize rushwa imehusika katika lipi.
mawaziri mizigo wanajulikana.
Kumbe mijamaa inafaidi aisee. Namna hii utasitisha ziara mikoani kweli? Hata hivyo kazi ya Kinana na Nape ilikuwa ni kumtambulisha mgombea wa CCm 2015 Asha Migiro kwa wananchi. Kero za wananchi ni za kimfumo na huwezi kuziondoa kwa ku-isolate episodes kama wafanyavyo Kinana na Nape. Mfumo mzima wa utawala umeoza kabisa labda wafumue wote. Hivi ile dossier ya Prof. Mihanjo na Mukama imetupwa wapi? Ile ilikuwa ni dawa mjarabu kwani ilitoa very concrete and tangible solutions to the inherent crisis in the body-politic. Kikwete na waafidhina wake akiwemo kingunge wakaigwaya na kuitupilia mbali. Mukama kaamua kuachia ngazi baada ya kuona anafanya kazi na waswahili maneno mengi vitendo kidogo. Jumba bovu kasukumiwa Kinana naye anajaribu kunyofoa vipengele anavyoona anaweza kuwa-impress mbulula ma-ccm kwamba anafanya kazi isiyo tija.. Ukitaka kutekeleza ile dossier sharti uitekeleze nzimanzima maana imesukwa dialectically interconnected (mavitu ya Hegelian na Marxian world outlook).View attachment 127904View attachment 127905View attachment 127906View attachment 127907View attachment 127908View attachment 127909
Hayo hapo juu ndio yaliyohusisha ziara ya kinana.
Mkuu umenichekesha. Kagasheki tena mzigo ulijiangusha wenyewe.
Wale wa jana haipo katika orodha ya MIZIGO SABA ambapo kawambwa ni wa kwanza ila walikuwa zaidi ya mizigo.Akina nchimbi wapo katika kundi la KIPINDUPINDU
Walimu bado wana masikitiko makubwa kwani waziri mzigo shukuru kawa-mbwa kwa nini hajajiuzuru.kashindwa kazi.madai ya walimu,walimu hawapandishwi madaraja.uafisa elimu wanapeana kwa upendeleo.maisha ya walimu yako duni sana mishahara kiduchu.