Vyombo vya habari siku hizi vimekuwa vya hovyo sana, vinaandika umbea wa kumfurahisha mtawala tu, ndio maana nimefuta app zote za news kwenye simu yangu, anzia Mwananchi, Ayo wote...
Bora nibaki na Al Jazeera, BBC, na Sky.
Afadhali wewe umeacha kusikiliza hotuba, mimi hata kusikiliza zile clip zake wanazopenda kuziweka Radio One najiskia kuumwa, hiyo sauti imekuwa kama kelele za chizi masikioni pangu.
Sijui kwanini unaishi maisha ya hofu sana, unachoandika hapa ni kama vile huiamini intelijensia ya Chadema, kitu ambacho binafsi sioni maana yake.
Haya mambo ya siasa siku zote hayapo static, kama hamtaunganishwa kwa sera zenu, lazima kuna mambo yatakayojitokeza yatakayowaunganisha, na pale...
Sishangai mjinga kutafuta watu wa kumsemea, hiyo ni kwasababu kichwa chake ni cheupe kisicho na kitu ndani.
Mwerevu hata siku moja hawezi kutafuta watu wa kumsemea, tena wakijaribu ndio atawafukuzilia mbali, kwasababu ana hofu wanaweza kuongea ujinga wakamharibia heshima yake ...
Lakini kwa...
Rushwa imeanzia kule juu kwa huyo unayemtaka ashughulike nayo chini, ule mkataba wa hovyo wa bandari umethibitisha hivyo, sasa unapomwambia kiongozi wa wahuni awaadhibu wahuni wenzie sioni kama upo sawa.
Unatakiwa useme Samia anatakiwa kujiuzulu, nchi imemshinda, hajui anachofanya.
Sasa kwanini viongozi wa dini wakikemea uovu mnawafunga midomo kisa wao sio wanasiasa?
Kama mnawakubali mpaka kuwaita viongozi wa dini, kwanini tena mnawalazimisha wavue majoho ili kuwakemea? hamuoni wakivua majoho hawatakuwa tena viongozi wa dini?
Nani aliyewapa wanasiasa haki ya kusema hapa...
Wewe chawa wa mama kila siku unakuja na tetesi zisizo eleweka, ulianza na Warioba kutaka kuhamia upinzani kisa anaupinga ule mkataba wa hovyo wa bandari, muendelezo wako ndio unakuja na hii ya UKAWA ili umuweke tena Mzee Warioba kwenye wale watakaojiunga huko..
Wacha utoto, mtu kupinga jambo...
Kwa sasa tatizo letu kubwa kabisa ni Samia na ujinga wake, huyu akiachwa bila kuambiwa ukweli anaweza kutupeleka utumwani hata hao CCM wenzake waje kukosa wa kuwatawala.
Kwanza tuanze ku deal na hiki kichwa kibovu kinachotuongoza kilichopoteza mwelekeo, kinachotupeleka shimoni, naamini ni...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.