Hivi jamaa yangu unajua kwanza niko wapi [emoji23][emoji23] au unazani mimi nimuuza dawa au tapeli!!! Huku ulaya kuna taarifa dawa jamaa aligundua wakamshusha chini xaxa kuna baadhi wanajua formula ya kutengeneza fala ww
Aisee kijna basi tufanye umeshinda hakuna dawa sawa... ila ungejua kinachoendelea alafu uko tanzania unasubiri mpka taarifa upate kutumia internet wakati weusi huku wanauwawa kisa wasitoe dawa [emoji848][emoji1545]
Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna nyimbo zilikuwaga na video ila nikienda youtube najuta cover tyu kama banza stone elimu ya mjiga kina viwete wanacheza hatar, kuna crazy t lekambuke yuko na dokii,kuna mr Paul nakuzimia yuko na demu wa kihindi
Sent using Jamii Forums mobile app
Uko dunia ipi rafiki nenda google au tafuta mawasiliano ya familia ya dr sebi wakupe formula ya matunda ya asili hakika utapona huo ugonjwa husipo amini ni wewe na maisha yako.dawa ipo ila mzungu hawezi kuruhusu watu wajue........
Sent using Jamii Forums mobile app
Yaani mtu anakuita nyani leo hii tena wanakurushia maganda ya ndizi alafu unakuja kusema hata marehemu Charles Darwin alingundua ilo wakati na yeye ni mzungu AMKA mwaafirika ww xio nyani ila wazungu ni uzao wa falling angels
Sent using Jamii Forums mobile app
Unaweza niambia nani kafiri kati ya rafiki yako uliyekuwa nae mtaa mmoja tangu mdogo ila ni mkristo au aliyekuleta dini na kukuza kama samaki mpka leo hii anakubagua kisa rangi ila unae fanana nae kila kitu kasoro ww ni ally yeye ni john ndy kafiri?? Amka mwaafrika
Sent using Jamii Forums...
Msiweke mambo binafsi na swala la dini maana ugaidi na dini ni vitu viwili tofaut na ujambazi na ukristo pia ni vitu viwili tofaut maana pia kuna majambazi na malaya wanavyaa vitu kuashiria ni waakristo ila huwez sema ni dini ndy imewatuma Sisi sote uzao wa ibrahimu # mkristo unapanda air...
Hapana xio kwamb tulikuwa tunaabudu mizimu bali alikuwa mungu wa kweli ila wazungu ndy waliona tunaabudu mizimu na walitaka tuabudu ndani ya jengo na kutoa sadaka ya sarafu na sio wanyama
Sent using Jamii Forums mobile app
Mungu yupo ila bible na vitabu vingine vimebadilishwa ukitaka ukweli wa adamu na eva tafuta bible inaitwa book of jubilee inaonesha kulikuwa na watu zaidi ya adamu na eva
Sent using Jamii Forums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.