Recent content by dennmatth

  1. dennmatth

    Kukamatwa, kupigwa risasi Lissu: Chama cha Wanasheria Uingereza chamlima barua Rais Magufuli

    Unafikiri sanctions zinawekwa kirahisi kama wewe ulivyotamka hilo neno kirahisi?
  2. dennmatth

    Kukamatwa, kupigwa risasi Lissu: Chama cha Wanasheria Uingereza chamlima barua Rais Magufuli

    Pohamba, ulichoandika hapa ni sahihi kabisa! Big up mkuu! na inahitaji akili kubwa ili kuelewa ulichoandika, sasa hao wengine wakisikia barua imetoka Ulaya wanarukaruka kama mahindi ya popcorn na kuanza kushadadia tu, wao wazungu kama ulivyosema wamefanya mangapi mabaya yasiyostahili kusema hapa...
  3. dennmatth

    Uamuzi wa kujengwa ukuta kuzunguka Mererani kulinda madini ya Tanzanite ulifikiwa mwaka 2002, lakini ukawekwa kapuni

    Nakubaliana na hatua za udhibiti zinazochukuliwa sasa katika kulinda rasilimali zetu, ila hili la kujenga ukuta sawa, ila changamoto nnayoiona ni kama mmoja wa wachangiaji alivyoeleza kuwa, upo uwezekano wa wachimbaji wasio waaminifu kuchimba tunnels. Na mimi kwa kuongeza ni kuwa, eneo la...
  4. dennmatth

    Trump Kumteua General Randolph Alles Kuwa Mkurugenzi wa Usalama wa Taifa (Secret Service)

    Rekebisha, Secret Service sio Usalama wa Taifa! Ni kikosi cha Ulinzi wa Viongozi na Sehemu Muhimu.
  5. dennmatth

    Kuna haja ya kubadilisha gwalide la Tanzania

    Shukran kwako pia Mkuu
  6. dennmatth

    Kuna haja ya kubadilisha gwalide la Tanzania

    Mkuu haya ni mazoezi kuonyesha ukakamavu tu, ndio maana hata vijana wa Kim Jong Un wanavunja matofali pia. Lakini linapokuja suala la kujifunza mbinu za kivita hiyo ni field nyingine na bahati mbaya hawawezi kuonyesha ujuzi huyo pale uwanjani kwa sababu mazingira si rafiki. Nadhani ushawahi...
  7. dennmatth

    Kuna haja ya kubadilisha gwalide la Tanzania

    Mkuu hivi vitoto vikishashiba ugali wa bure, vina shida sana!
  8. dennmatth

    Kuna haja ya kubadilisha gwalide la Tanzania

    Mtihani wa form six mnaanza lini?
  9. dennmatth

    Kuna haja ya kubadilisha gwalide la Tanzania

    Hamia Korea ya Kusini mkuu, bongo tuachie sisi
  10. dennmatth

    Baada Jokate kuingia rasmi UVCCM , Brand ya KIDOTI yaanza kupuuzwa

    Kumbe umepata taarifa! Nikajua umefanya utafiti usio na shaka na ukaona bidhaa zake zilivyoshuka! Fanya kazi mkuu na komaa na kujenga uchumi wako! Mengine mwachie kidoti mwenyewe kwani ni mtu mzima na anajua anachofanya na maamuzi aliyoyachukua na pia heshimu maamuzi yake ya kujiunga na chama...
  11. dennmatth

    Tahadhari video inatisha: Dada huyu alifanya nini hadi kutendewa haya?

    Sijaipenda comment ya uliyemjibu hata kidogo kwa kuwadhihaki wanawake, ila dini inaingiaje hapa? Ungeingiza jinsia ningekuelewa, hata kama una chuki dhidi ya dini nyingine jitahidi kuificha!
  12. dennmatth

    Usalama wa Taifa haujadiliwi

    Tafiti dunia nzima, afu utagundua stability ya Nchi inatokana na Idara ya Usalama wa Taifa ya Nchi husika. Pia vyombo vyote vina umuhimu yaani Intelligence Organization pamoja na Jeshi. Labda nigusie kidogo tu, Kila chombo kina majukumu yake, Mfano Jeshi kazi yake ni ulinzi wa mipaka ya Nchi...
Back
Top Bottom