Uamuzi wa kujengwa ukuta kuzunguka Mererani kulinda madini ya Tanzanite ulifikiwa mwaka 2002, lakini ukawekwa kapuni

Richard

JF-Expert Member
Oct 23, 2006
14,939
20,400
Jana Rais John Magufuli aliamuru kujengwa ukuta kuzunguka eneo la Mererani na kulinda madini ya adimu duniani ya Tanzanite ili kuwezesha upatikanaji wa kodi itokanayo na mauzo ya madini hayo kwa urahisi.

Ukuta huo utakaokuwa na eneo la kilomita za mraba 15, utazuia eneo zima la mgodi la kilomita za mraba 81.99 na litazuia maeneo yote ya uchimbaji ya A, B, C, na eneo D.

Sambamba na ukuta huo pia kutajengwa barabara nzuri ya lami ambayo itatokea kwenye machimbo hayo hadi uwanja wa ndege wa kimataifa wa Kilimanjaro yaani KIA.

Uamuzi wa kujengwa kwa ukuta huo inasemwa kwamba umechelewa yaani kwamba ukuta huo ulipaswa kujengwa mwaka 2002 baada ya timu ya washauri wa kitanzania na wawakilishi wa wanunuzi wakubwa wa madini hayo kuafiki kwamba kulikuwa na haja ya kujengwa kwa ukuta huo kwa wakti ule.

Timu hiyo iloitwa Tanzanite Tueson Protocol ilishauri kujengwa ukuta huo kudhibiti biashara haramu ya madini hayo na mitandao yake yote.

Hiyo ilitokana na mabadiliko mbalimbali ya sheria za kuhusiana na ugaidi katika nchi mbalimbali baada ya ripoti mbalimbali kuhusisha biashara ya hiyo ya madini na masuala ya ugaidi ambapo kiongozi wa magaidi duniani kwa wakati huo Osama Bin Laden alikuwa akihisiwa kujishirikisha na biashara hiyo.

Kujengwa kwa ukuta huu kutadhibiti si tu wafanya biashara halali bali pia wafanyabiashara wenye leseni na kuondoa biashara haramu ya magendo ya madini hayo.

Tanzanite ni madini ambayo yanapatikana nchini Tanzania pekee na yana soko kubwa nchini Marekani kiasi cha asilimia 99.

Lakini madini hayo yanasafirishwa moja kwa moja kwenda nchini Marekani kupitia katika nchi za Thailand, Kenya na India huku serikali ya Tanzania kwa miaka Zaidi ya 15 ikiwa inakosa mapato yake halali kutokana na upotevu huo.

Kujengwa kwa ukuta huo pia kutasaidia shughuli hizo za uchimbaji kudhibitiwa kirahisi, kupatikana fursa nzuri za wafanyabiashara wa katika maeneo hayo kama mama ntile na migahawa mingine, mahoteli, klabu za usiku na hata biashara za magari!

Biashara zote hizi zinawezesha kupatikana kwa kodi za mapato kwa kuwa wafanyabiashara hawa wote watakuwa wamesajiliwa rasmi katika mfumo wa TRA kwa wote kuwa na namba maalum za TIN.

Pia mgodi huo wa Marerani utawezesha wafanyabiashara waingizaji wa vifaa mbalimbali vya uchimbaji wa madini hayo kutoka nje ya nchi kuweza kufanya hivyo kuwa kutumia mfumo mmoja wa anuani ya eneo hilo hivyo hata kama mtu anaagiza mzigo kutoka marekani, au Uchina basi uaandikwa anuani ya Mererani.

Je, mwana JF unachukuliaje uamuzi huu wa kujengwa kwa ututa kudhibiti eneo lote za Mererani?

Je, faida zake zingine kubwa ni zipi?

Je , kuna hasara yoyote ile?

Tafadhali toa maoni yako bila kuingiza siasa.

Kama kawaida yangu napenda majadiliano yenye tija.

Karibu.
 
Juzi raisi John Magufuli aliamuru kujengwa ukuta kuzunguka eneo la Mererani na kulinda madini ya adimu duniani ya Tanzanite ili kuwezesha upatikanaji wa kodi itokanayo na mauzo ya madini hayo kwa urahisi.

Ukuta huo utakaokuwa na urefu wa kilomita za mraba 15, utazuia eneo la kilomota za mraba 81.99 na litazuia maeneo yote ya uchimbaji ya A, B, C, na eneo D.

Sambamba na ukuta huo pia kutajengwa barabara nzuri ya lami ambayo itatokea kwenye machimbo hayo hadi uwanja wa ndege wa kimataifa wa Kilimanjaro yaani KIA.

Uamuzi wa kujengwa kwa ukuta huo inasemwa kwamba umechelewa yaani kwamba ukuta huo ulipaswa kujengwa mwaka 2002 baada ya timu ya washauri wa kitanzania na wawakilishi wa wanunuzi wakubwa wa madini hayo kuafiki kwamba kulikuwa na haja ya kujengwa kwa ukuta huo kwa wakti ule.

Timu hiyo iloitwa Tanzanite Tueson Protocol ilishauri kujengwa ukuta huo kudhibiti biashara haramu ya madini hayo na mitandao yake yote.

Hiyo ilitokana na mabadiliko mbalimbali ya sheria za kuhusiana na ugaidi katika nchi mbalimbali baada ya ripoti mbalimbali kuhusisha biashara ya hiyo ya madini na masuala ya ugaidi ambapo kiongozi wa magaidi duniani kwa wakati huo Osama Bin Laden alikuwa akihisiwa kujishirikisha na biashara hiyo.

Kujengwa kwa ukuta huu kutadhibiti si tu wafanya biashara halali bali pia wafanyabiashara wenye leseni na kuondoa biashara haramu ya magendo ya madini hayo.

Tanzanite ni madini ambayo yanapatikana nchini Tanzania pekee na yana soko kubwa nchini Marekani kiasi cha asilimia 99.

Lakini madini hayo yanasafirishwa moja kwa moja kwenda nchini Marekani kupitia katika nchi za Thailand, Kenya na India huku serikali ya Tanzania kwa miaka Zaidi ya 15 ikiwa inakosa mapato yake halali kutokana na upotevu huo.

Kujengwa kwa ukuta huo pia kutasaidia shughuli hizo za uchimbaji kudhibitiwa kirahisi, kupatikana fursa nzuri za wafanyabiashara wa katika maeneo hayo kama mama ntile na migahawa mingine, mahoteli, klabu za usiku na hata biashara za magari!

Biashara zote hizi zinawezesha kupatikana kwa kodi za mapato kwa kuwa wafanyabiashara hawa wote watakuwa wamesajiliwa rasmi katika mfumo wa TRA kwa wote kuwa na namba maalum za TIN.

Pia mgodi huo wa Marerani utawezesha wafanyabiashara waingizaji wa vifaa mbalimbali vya uchimbaji wa madini hayo kutoka nje ya nchi kuweza kufanya hivyo kuwa kutumia mfumo mmoja wa anuani ya eneo hilo hivyo hata kama mtu anaagiza mzigo kutoka marekani, au Uchina basi uaandikwa anuani ya Mererani.

Je, mwana JF unachukuliaje uamuzi huu wa kujengwa kwa ututa kudhibiti eneo lote za Mererani?

Je, faidi zake zingine kubwa ni zipi?

je , kuna hasara yoyote ile?

Tafadhali toa maoni yako bila kuingiza siasa.

Kama kawaida yangu napenda majadiliano yenye tija.

Karibu.
Huu ni uamuzi mzuri wa kujenga ukuta lakini tunachosema hapa ni kuwa tumefikia hapa kwa sababu ya mafisadi ccm
 
Ni sawa lakini angalizo..tunaweza kujenga ukuta sawa tena uwe imara kama ule wa gereza la Guantanamo bay, wakati wanajenga wenzao watakuwa wanachimba njia za chini kwa chini za kutorosha madini kimagendo.. kama inawezekana wauza madawa wanachimba tunnels kutoka mexico hadi marekani sidhani kama hawa watashindwa kuchimba kutoka mererani ije kutokea KIA... walinzi waache kulinda getini wadhani wameshinda
 
Ni sawa lakini angalizo..tunaweza kujenga ukuta sawa tena uwe imara kama ule wa gereza la Guantanamo bay, wakati wanajenga wenzao watakuwa wanachimba njia za chini kwa chini za kutorosha madini kimagendo.. kama inawezekana wauza madawa wanachimba tunnels kutoka mexico hadi marekani sidhani kama hawa watashindwa kuchimba kutoka mererani ije kutokea KIA... walinzi waache kulinda getini wadhani wameshinda

Kabla ya raisi John Magufuli kutangaza uamuzi huo wa kujengwa kwa ukuta huo, tayari mawazo kama yako yalizingatiwa.

Kumbuka, uamuzi huu haujatolewa kwa bahati mbaya kumefanyika upembuzi yakinifu kabla.

Ndiyo maana kazi wamepewa JWTZ.
 
Kabla ya raisi John Magufuli kutangaza uamuzi huo wa kujengwa kwa ukuta huo, tayari mawazo kama yako yalizingatiwa.

Kumbuka, uamuzi huu haujatolewa kwa bahati mbaya kumefanyika upembuzi yakinifu kabla.

Ndiyo maana kazi wamepewa JWTZ.
sawa mkuu... wataweka reinforcement kwa concrete kali mita ngapi kwenda chini labda...
 
Ni sawa lakini angalizo..tunaweza kujenga ukuta sawa tena uwe imara kama ule wa gereza la Guantanamo bay, wakati wanajenga wenzao watakuwa wanachimba njia za chini kwa chini za kutorosha madini kimagendo.. kama inawezekana wauza madawa wanachimba tunnels kutoka mexico hadi marekani sidhani kama hawa watashindwa kuchimba kutoka mererani ije kutokea KIA... walinzi waache kulinda getini wadhani wameshinda

Umeongea vema mkuu! Nakubaliana na hilo angalizo lako
 
sawa mkuu... wataweka reinforcement kwa concrete kali mita ngapi kwenda chini labda...

Twasema kwa kiingereza kwamba "state of art" wall.

Kutakuwa na vitu vyaitwa "motion detectors", "Sensors" na "PIR systems" kwenye pembe za ukuta na ardhini ambazo zinabaini mienendo ya hatua na kujisogeza.

Pale KIA patakuwa na vifaa vingine vya ziada ambavyo hatutaviweka hapa vyote kwa sababu za kiusalama.

Lakini kumbuka huu si ukuta wa kulinda kuku au mifugo.

Ni hayo tu kwa kifupi mkuu.
 
Jana Rais John Magufuli aliamuru kujengwa ukuta kuzunguka eneo la Mererani na kulinda madini ya adimu duniani ya Tanzanite ili kuwezesha upatikanaji wa kodi itokanayo na mauzo ya madini hayo kwa urahisi.

Ukuta huo utakaokuwa na urefu wa kilomita za mraba 15, utazuia eneo la kilomota za mraba 81.99 na litazuia maeneo yote ya uchimbaji ya A, B, C, na eneo D.

Sambamba na ukuta huo pia kutajengwa barabara nzuri ya lami ambayo itatokea kwenye machimbo hayo hadi uwanja wa ndege wa kimataifa wa Kilimanjaro yaani KIA.

Uamuzi wa kujengwa kwa ukuta huo inasemwa kwamba umechelewa yaani kwamba ukuta huo ulipaswa kujengwa mwaka 2002 baada ya timu ya washauri wa kitanzania na wawakilishi wa wanunuzi wakubwa wa madini hayo kuafiki kwamba kulikuwa na haja ya kujengwa kwa ukuta huo kwa wakti ule.

Timu hiyo iloitwa Tanzanite Tueson Protocol ilishauri kujengwa ukuta huo kudhibiti biashara haramu ya madini hayo na mitandao yake yote.

Hiyo ilitokana na mabadiliko mbalimbali ya sheria za kuhusiana na ugaidi katika nchi mbalimbali baada ya ripoti mbalimbali kuhusisha biashara ya hiyo ya madini na masuala ya ugaidi ambapo kiongozi wa magaidi duniani kwa wakati huo Osama Bin Laden alikuwa akihisiwa kujishirikisha na biashara hiyo.

Kujengwa kwa ukuta huu kutadhibiti si tu wafanya biashara halali bali pia wafanyabiashara wenye leseni na kuondoa biashara haramu ya magendo ya madini hayo.

Tanzanite ni madini ambayo yanapatikana nchini Tanzania pekee na yana soko kubwa nchini Marekani kiasi cha asilimia 99.

Lakini madini hayo yanasafirishwa moja kwa moja kwenda nchini Marekani kupitia katika nchi za Thailand, Kenya na India huku serikali ya Tanzania kwa miaka Zaidi ya 15 ikiwa inakosa mapato yake halali kutokana na upotevu huo.

Kujengwa kwa ukuta huo pia kutasaidia shughuli hizo za uchimbaji kudhibitiwa kirahisi, kupatikana fursa nzuri za wafanyabiashara wa katika maeneo hayo kama mama ntile na migahawa mingine, mahoteli, klabu za usiku na hata biashara za magari!

Biashara zote hizi zinawezesha kupatikana kwa kodi za mapato kwa kuwa wafanyabiashara hawa wote watakuwa wamesajiliwa rasmi katika mfumo wa TRA kwa wote kuwa na namba maalum za TIN.

Pia mgodi huo wa Marerani utawezesha wafanyabiashara waingizaji wa vifaa mbalimbali vya uchimbaji wa madini hayo kutoka nje ya nchi kuweza kufanya hivyo kuwa kutumia mfumo mmoja wa anuani ya eneo hilo hivyo hata kama mtu anaagiza mzigo kutoka marekani, au Uchina basi uaandikwa anuani ya Mererani.

Je, mwana JF unachukuliaje uamuzi huu wa kujengwa kwa ututa kudhibiti eneo lote za Mererani?

Je, faida zake zingine kubwa ni zipi?

Je , kuna hasara yoyote ile?

Tafadhali toa maoni yako bila kuingiza siasa.

Kama kawaida yangu napenda majadiliano yenye tija.

Karibu.

Nakubaliana na hatua za udhibiti zinazochukuliwa sasa katika kulinda rasilimali zetu, ila hili la kujenga ukuta sawa, ila changamoto nnayoiona ni kama mmoja wa wachangiaji alivyoeleza kuwa, upo uwezekano wa wachimbaji wasio waaminifu kuchimba tunnels.

Na mimi kwa kuongeza ni kuwa, eneo la Mererani wachimbaji wengi wametobozana chini kwa chini, hivyo wana uwezo mkubwa sana wa kuchimba tunnels zenye umbali mrefu na kutokea maeneo ambayo may be coverage ya CCTV hakuna.
 
Nakubaliana na hatua za udhibiti zinazochukuliwa sasa katika kulinda raslimali zetu, ila hili la kujenga ukuta sawa, ila changamoto nnayoiona ni kama mmoja wa wachangiaji alivyoeleza kuwa, upo uwezekano wa wachimbaji wasio waaminifu kuchimba tunnels. Na mimi kwa kuongeza ni kuwa, eneo la mirerani wachimbaji wengi wametobozana chini kwa chini, hivyo wana uwezo mkubwa sana wa kuchimba tunnels zenye umbali mrefu na kutokea maeneo ambayo may be coverage ya CCTV hakuna.

Huwezi kuzuia kwa asilimia 100 kila ujanja wa wananchi lakini ukuta utasaidia kwa kiasi kikubwa.
 
Twasema kwa kiingereza kwamba "state of art" wall.

Kutakuwa na vitu vyaitwa "motion detectors" na "PIR systems" kwenye pembe za ukuta ambazo zinabaini mienendo ya hatua na kujisogeza.

Pale KIA patakuwa na vifaa vingine vya ziada ambavyo hatutaviweka hapa vyote kwa sababu za kiusalama.

Ni hayo tu kwa kifupi mkuu.
Asante mkuu kwa kunifungua macho.. ila what i know people are smart, and whatever security measures we impose they will find a way to bypass it... so motion detectors na PIR sensors zaweza kusense mienendo ya chini kama tunnel itachimbwa siyo? kwa depth gani labda...wengine wanaweza kuzifunga na kuzitupa juu ya ukuta zikaangukia nje wakapita getini vizuri kuokota mali yao...
 
Back
Top Bottom