Trump Kumteua General Randolph Alles Kuwa Mkurugenzi wa Usalama wa Taifa (Secret Service)

alvinroley

Member
Sep 30, 2016
71
251
Habari za ndani kutoka White House zinadai Rais Donald Trump muda si mrefu atamteua Jenerali Mstaafu wa Jeshi la Wanamaji (US Marine Corp), Randolph Alles a.k.a Tex kuwa Mkurugenzi Mkuu wa Usalama wa Taifa wa nchi hiyo (Secret Service General Director). Jeneral Mstaafu Randolph Alles ni Jasusi aliyebobea na ameitumikia Marekani katika Jeshi hadi kustaafu kwake katika jeshi la wanamaji.

Source: CNN

1493208254304.jpg
1493208258431.jpg
1493208311447.jpg
1493208517861.jpg
1493208531191.jpg
1493208538071.jpg
 
Mkuu umekosea kidogo kichwa cha habari rekebisha,
tofautisha NSA, CIA,FBI na hao wengine rekebisha kichwa cha habari
 
mkurugenzi usalama wa taifa~secret service aisee basi sawa lazima nielewe tu
 
Ha ha ha! Jamaa ana masikio kama tembo. Elephants low hearing range 14 to 16 Hz while human lowest range is 20Hz. Hayo mamikunjo usoni ni ishara jamaa amekuwa akifikiria mambo magumu maisha yake yote. Hatari tupu huyu Jenerali.
 
Dah kweli huyo Ni jasusi hayo macho anaona hadi roho
Hayo masikio ndio usiseme; kama tembo. Uwezo wake wa kusikia ni wa kiwango cha juu sana. Mamikunjo usoni jamaa ni mtu wa kufukiria mambo magumu maisha yake yote. Hauwekwa pale kwa bahati mbaya au kujuana kiongozi.
 
Ha ha ha! Jamaa ana masikio kama tembo. Elephants low hearing range 14 to 16 Hz while human lowest range is 20Hz. Hayo mamikunjo usoni ni ishara jamaa amekuwa akifikiria mambo magumu maisha yake yote. Hatari tupu huyu Jenerali.
Niliwahi kusikia kuwa watu wengi wenye masikio ya dizain hiyo wana akili sana.
 
Habari za ndani kutoka White House zinadai Rais Donald Trump muda si mrefu atamteua Jenerali Mstaafu wa Jeshi la Wanamaji (US Marine Corp), Randolph Alles a.k.a Tex kuwa Mkurugenzi Mkuu wa Usalama wa Taifa wa nchi hiyo (Secret Service General Director). Jeneral Mstaafu Randolph Alles ni Jasusi aliyebobea na ameitumikia Marekani katika Jeshi hadi kustaafu kwake katika jeshi la wanamaji.

Source: CNN

View attachment 501361View attachment 501362View attachment 501363View attachment 501364View attachment 501366View attachment 501367

Rekebisha, Secret Service sio Usalama wa Taifa! Ni kikosi cha Ulinzi wa Viongozi na Sehemu Muhimu.
 
Boss wa hiyo taasisi kubwa yupo ni Dan Coats, nafasi iliokuwa wazi ni boss wa secret service ni kikosi cha Ulinzi wa Marais na viongozi nchini Marekani yaani USSS sio NSA
 
Ameshachemsha ,wabunge wamemkatalia ujinga wake kwa Nkorea. Wameshamwambia aibu ya Viet nam (1972) inajirudia.
 
Back
Top Bottom