Recent content by Dennis_Ritchie

  1. Dennis_Ritchie

    Ni kwanini KEMET haipewi heshima yake katika ulimwengu huu?

    Kaka acha tu Yani .Dah! Hata vumbuzi zilizofanyika Kemet wanapewa credit wazungu kumbe zimetoka kule inasikitisha sana. Wanasayansi wote wa masuala ya umeme wamekopi kule Kemet. Tesla , Volta wote wamekopi kule!
  2. Dennis_Ritchie

    Vipi nikikwambia unaweza ukatengeneza logo bila kutumia experience yoyote?

    Leo nitakuelekeza jinsi ya kutengeneza logo ya kampuni yako haya ya mtu bila kutumia ujuzi wowote! fuatilia: Unahitaji kuwa na internet connection na smartphone au laptop. 1. Tutamia tool inaitwa chat gpt katika kutengeneza prompts. Kama huna account create hapa...
  3. Dennis_Ritchie

    Siri na fumbo la kifo (Dini & Sayansi) tukishakufa tunakwenda wapi?

    Kwa uelewa wangu ni niliyofundishwa. Kama mtu kazaliwa ina maana ipo siku atakufa na kuna maisha baada ya kifo mtu mwenye Mungu wa kweli hapaswi kuogopa kifo maana kifo ni njia ya mtu kutoka sehemu moja kwenda nyingine . Wakati mtu anazaliwa anakuwa na nafsi ,roho na namba. Nafsi itafanya yote...
  4. Dennis_Ritchie

    Mapenzi yananitesa mwenzenu

    Ni Jambo la kawaida wengi huwa tunakutwa nalo Cha kuzingatia katika relationship ni kwamba je unataka uwe na relationship umejiandaa vizu? 2.ukiwa katika relationship kubaliana na Hali kwamba Matatizo unakutana nayo tu pia usipende Sana utakufa na kingine hakikisha unajua namna ya kucontrol...
Back
Top Bottom