Mwenyekiti Mwenza Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa), James Mbatia, ameibuka na kudai kuwa Rais Jakaya Kikwete amekuwa akisafiri zaidi na kutumia muda mwingi akiwa nje ya nchi kuliko nchini katika kipindi chake cha takriban miaka 10.
Vyama vinavyounda Ukawa ni NCCR-Mageuzi, Chama cha...
lemutuz_nation this is not- the FACTS but absolutely nonsense kwa kuwa lengo kubwa la Caption yako hii nikutaka kuwatisha vijana kuwa ili uweze kupata fursa ni lazima ushabikie maccm kitu ambacho ni upuuzi katika dunia ya leo na ukizingatia wewe ni msomi.- Na nukuu "Na wewe kijana unayekimbilia...
lemutuz_nation this is not- the FACTS but absolutely nonsense kwa kuwa lengo kubwa la Caption yako hii nikutaka kuwatisha vijana kuwa ili uweze kupata fursa ni lazima ushabikie maccm kitu ambacho ni upuuzi katika dunia ya leo na ukizingatia wewe ni msomi.- Na nukuu "Na wewe kijana unayekimbilia...
Nikiwa kama kijana wa kitanzania mwenye umri mdogo sana, Napata mashaka makubwa sana na viongozi wa Taifa langu hili;
Kama kweli ni kwamba wanauchungu na maisha ya mwananchi wa nchi hii?
Na kama kweli wanauzalendo wakutetea rasilimali za nchi hii?
Na kama kweli wananidhamu na matumizi ya kodi za...
Huwa na comment kila siku juu ya status zako kwamba Muccobs walifanya makosa makubwa kukutunuku shahada hewa, na huwa sishangai sana pale unapoandika yasiyo na vichwa wala mkia wafikra kwakuwa maccm wenzako wa Muccobs walikuhonga shahada hiyo ili uwe mtiifu na mvuja hoja kama unavyofanya. Sahau...
Ni wachache sana watakaopuuza na kubeza mipango hiyo mikubwa ya UNCC ila ukweli nikwamba hata babu yangu kijijini kwetu alikuwa analilia kuungana kwa upinzani ili kuitoa CCM kwenye utawala na kwa taarifa hizi zimempa faraja sana hivyo wanaobeza waendelee ila kwenye nafsi zao hakuna furaha tena...
B na F kwangu zimekuwa kero, mim huwa na kawaida ya kuweka Cheka ya week ya sh4999 lakin huwa haitoboi siku tatu, mbaya zaid nikijaribu ya mwezi ya sh15000 ndyo kabisa hata siku kumi hazifiki. Kiukwel Vodacom wamenichosha mwenyewe natamani kuwahama.
Sent from my iPad using JamiiForums app
Kwanza fikiria ikiwa ni wew leo hii haupo duniani ukazikwa na kusahauliwa unadhani itakuwa na taswira nzuri? Kwangu mim kuna maana kubwa na kwa mwaka huu nimepanga kuvunja kaburi la Bibi yangu kipenzi Martha Njau(1938-2004) lililojengwa kwa ukawaida sana na kumjengea jingine lenye hadhi nzuri...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.