kwanza anatakiwa apate eneo ambalo lipo sehemu ya wazi na watu wengi wanapita, vitu vya lazima ni kama rollers, drier,stimmer, mafuta ya nywele, dawa za nywele, vitana, shampoo, stiming, na vyombo kama ndoo, jaba na dishi
mapendekezo yako ni mazuri lakini pendekezo la pili linaweza lisikubalike kwa sababu PSRS ni chombo cha serikali na serikali imeona posta inakufa hivyo inawatumia hawa ili posta iendelee kuwepo
mi nadhani kwa kuwa uhamiaji na zimamoto wote ni wizara moja wanaweza kupeana taarifa kama kuna watu wamepata kazi fire na uhamiaji waliomba, hivyo hawawezi kuwa shortlisted tena.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.