Arovera tunaomba ufafanuzi zaidi kwani kuna mwenzangu anasafiri kesho kutoka dar kwenda tandahimba. Alikuwa apitie mtwara mjini ila kutokana na maelezo yako kuna uwezekano wa kwenda bila kupita mtwara mjini. Unaweza ukanitajia mabasi mazuri kutoka hapo mbagala rangitatu ili kuepuka usumbufu wa...
Hongera ndugu, yani naona kama mimi na wewe ndo tulikuwa mstari mmoja. Nashkuru Mungu, kweli subira yavuta heri. Wamenipanga halmashauri ya moshi mjini. Ila kuna wenzangu tulihangaika wote na bado hawajapangwa, wako kama 46.
Mkuu nina uhakika na siwezi kukurupuka kuongea vitu vya uongo wakati na mimi ni mhanga. Labda kama walinipa matumaini, ukumbuke usemi wa "Serikali yetu ni sikivu,tutalifanyia kazi"
Jamani wadau nami ni mhanga. Nimehitimu chuo cha ualimu marangu. Masomo ninayofundisha ni history na geography ila sijapangiwa kituo cha kazi. Sijui ndo mpaka mwakani maana nilienda hadi tamisemi na vyeti vyangu, wakadai tuangalie wiki hii kwenye internet ndo tunaendelea kusubiri wadau
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.