badala ya kuokoa majeruhi wewe unapiga picha na kusikitika
Haya mabasi ni mabovu mno kituo chake ni pale magomeni lager opp na oil com spare zake ni za kuungaunga si ajabu baada ya ajali hii akatoa yutong mpyaaaa....kuna mengi kwenye hii biasharaChanzo si ndio kile kilichozoeleka?
I.e kutoka mkuku.
Hiyo ndiyo Sabena mkuu...walipofungiwa walifanya ujanja wa kubadili jina!!!Hivi ndo Sabena?
Na SUMATRA wapo wapi?
Mshanaaaaa!!! Umezidisha ubora..Haya mabasi ni mabovu mno kituo chake ni pale magomeni lager opp na oil com spare zake ni za kuungaunga si ajabu baada ya ajali hii akatoa yutong mpyaaaa....kuna mengi kwenye hii biashara
Trust me hapo kama sio ishu ya bima basi ni kupuliza huu mwaka hauishi atatoa kitu kipyaMshanaaaaa!!! Umezidisha ubora..
Tuombe Rehema za Mungu na ulinzi wake bila kuchoka.Trust me hapo kama sio ishu ya bima basi ni kupuliza huu mwaka hauishi atatoa kitu kipya