1. MAYAI YA KUCHEMSHA
mchanganuo wake uko ivi - ukiwa na mtaji wa elfu kumi 10000/= unatosha kuanza biashara hii ambapo trey ya mayai moja inauzwa 7500/= mpaka 8000/= , pia waweza nunua trey zile za boksi ambayo moja ni 500 au kama wajiweza unaweza nunua ya plastic kwa 2000/= , pia utanunua na...
Upigaji wa punyeto au kujichua hupunguza sana nguvu za kiume na hata kuua kabisa nguvu hizo za kiume. Ni jambo ovu na hatari kabisa kwa afya ya mwanaume.
Moja ya sababu za kupungua nguvu za kiume kwa vijana wengi na hata baadhi ya watu wazima, ni mtindo mbaya wa kujichua au kwa lugha nyingine...
Baraza la Mitihani Tanzania (Necta) limetangaza matokeo ya kidato cha sita mwaka 2021 na kutaja shule kumi bora zilizofanya vizuri katika mtihani huo.
Akizungumza leo Jumamosi Julai 10, 2021 visiwani Zanzibar wakati akitangaza matokeo hayo, Katibu Mtendaji wa Baraza la Mitihani Tanzania...
Watu wengi ambao ni wafanyabiashara/wajasiriamali wamekua wakiusishwa/wakiamini kuwa ili kufanikiwa katika biashara itabidi ufanye ndumba kidogo ili mambo yaende sawa.
Leo naomba tupeane uzi juu ya ili kwamba ni je kuna ukweli wowote kwamba ili mtu afanikiwe yampasa kufanya ndumba au la...
Wakuu nilikuwa naomba kufahamishwa michongo ya kusambaza bidhaa mikoani au kutoka mikoani kuingia dar. Kwa anayefahamu ni mishe ipi iko poa au kama una connection yoyote eiza kuchukua vyakura kama mbogamboga, masamaki, au chochote yani kifupi biashara ambayo aikai unachukua unapeleka mzigo...
Tatizo la kukosa mtaji limekuwa kubwa mno, watu wengi wanandoto za kufanya biashara ili kujikwamua kiuchumi, kila mtu anatamani walau afanye kitu kwaajili ya kupata rizki ila wanashindwa namna ya kuanza kufanya yote kwasababu ya kukosa fedha.
Hizi apa njia kazaa ambazo unaweza tumia ili kupata...
Upatikanaji wa kazi kwa sasa umekua ni mgumu kila sehemu watu wanaangaika kutafuta ajira ili wapate kipato na kujiinua kiuchumi ili maisha yaende ,wasomi kwa sasa wamekua wengi kira kona kuna vyuo jambo ambalo linapelekea kuwa na wasomi wengi wasio na ajira.Kutokana na ili tatizo watu wengi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.