Upo nchi gani?..kwa Tanzania yanapatikana Posta. Mkapa house..ground floor..karibu na duka la Mariedo. Utaona picha ya TB Joshua mlangoni. Kuna coordinator anaitwa Martha.
Nitabia yake kukopa. Akija hua anakuja na mbwembwe nyingi..siasa nyingi..wakati wa kulipa inakua shida. Kwa kua ni mteja wetu hua tunamsamehe tu. Ila leo lazima anilipe hasa mimi nnayemdai pesa ya 4 good days with him. Tumbo kubwa akili hana
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.