Ni upuuzi mtu kuona ni haki muda wa kazi akae akikodoa macho eti anaangalia bunge na kusubiri wapinzani wasusie bunge au wabunge walale bungeni ili apate kuongea katika mitandao. Nimekaa japan sijawahi ingia ofisini nikakuta TV inaning'inia ukutani watu wakiangalia bunge linajadili nini. wabunge...
Halima, Halima, unashindwa kuja na hoja za maana unaleta hoja za posho ya Raisi!
Jamani kuna mambo ya msingi zaidi ya Posho ya mtu mmoja tena kiongoni mmoja wa nchi!
Halima usianze kupoteza credibility yako kwa hoja mfu! mfano akikupa taarifa itakusaidia nini sasa! tuna taka hoja zenye...
uandishi wako unaonesha hata la saba hujamaliza, umeweza vipi kuona makosa ya lugha kwa magufuri! au ndo ninyi wenye akili za kushikiwa! wakiongea wajinga na nyumbu anafuata bila kuchuja ukweli!
Basi clouds si genge la wahuni! hata wewe ungefanya kazi pale tukakutazama kama unavyowatazama clouds usingefurahi hata kidogo. club ni tofauti na clouds! wanaopiga simu clouds si wote vichaa! nimekupata maana unayotaka watu waielewe lakini kiukweli naamini raisi hakukosea japo hapaswi kufanya...
Kijana naona leo umeamua. hongera sana japo nina shaka na hoja zako. mwache raisi afanye kazi yake. clouds alikuwa anaongea na wananchi na yeye ni mwananchi. usitake raisi ajitenge na jamii. huo ni utumwa.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.