barafuyamoto
JF-Expert Member
- Jul 26, 2014
- 32,323
- 29,584
Ulivyoandika tu inaonyesha kamwe huwezi mkubali hata apige kazi kiasi gani!
Umeandika kimajungu uzi wako ila point hamna, aliyekwambia urais unasomewa ni nani? Hakujiandaa sababu ilikuwa na wagombea wengine, unless yule jamaa aliyenunua karibu sisiemu wote ila bado akachinjwa, yeye alikuwa na uhakika kua pesa ingemfanya awe rais ila tukachinja wananchi.
Umeandika kimajungu uzi wako ila point hamna, aliyekwambia urais unasomewa ni nani? Hakujiandaa sababu ilikuwa na wagombea wengine, unless yule jamaa aliyenunua karibu sisiemu wote ila bado akachinjwa, yeye alikuwa na uhakika kua pesa ingemfanya awe rais ila tukachinja wananchi.