barafuyamoto
JF-Expert Member
- Jul 26, 2014
- 32,329
- 29,599
Hivi hujawahi msikia Zito na Tundu lisu toka enzi za jk wakitokwa na povu kuhusu mshahara wa rais?Aliyeanzisha mada hii sio wananchi,wala wabunge;raisi mwenyewe anayependa sifa ndio alianzisha mjadala huu akithani watu mafala.
Raisi anapewa 36M kwa mwezi mkuu na anajengewa nyumba anakotaka na kulisha,kuvishwa na kulindwa maisha yake yote.