Itoshe kusema tu ya kwamba wewe famba..punguani usiokuwa na mbele wala nyuma. Wewe unawajua wale watu? Wao wamesema wametengana..wewe unasema sio kweli..baasi tuambie unachojua huku jf.
Mfyuuu...kwani ni mara moja kuuwa hao mageneral? Mbona soleiman alichinjwaa, juzi hapa tena mtengeneza silaha kaliwa kichwa hapo hapo iran na hakuna chochote wanafanya? Mfyuu ni umbwaa tu anabweka na kuingiza mkia miguuni..
We bila shaka ni mzawa wa huko..ufipani..kuna mshkaji wangu yuko huko kwenu..anasema nyie ni washenzi wakutupwaa..mmejaaa ukabila ..roho mbayaaa...yaan hata shamba kumpa mtu asie wa kabila lenu akodi ni shida..pumbavu zenu..ondokeni na huo ulimbukeni..sio bure hakuna maendelea ni kutumia radi...
Bado mnapambana na asiekuwepo..hahah..kweli JPM ni mwamba..wapumbavu wakubwaa nyie..hayaa endeleeni na huyoo mwarabu wa dubai...umeme hola...dola hakuna...wezi wamezidi kila kona....shwain nyieee waswahili msiojua nini maana ya maendeleo. Mmekalia kucheza vigodoro na kuuza kooshoo
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.