Recent content by delavider

  1. delavider

    JamiiForums Tanzania Taja beats za nyimbo kali zaidi kuwahi kutengenezwa Tanzania

    Rado beat ni ya baucher
  2. delavider

    JamiiForums Tanzania Must see Movies

    ingia youtube ipo
  3. delavider

    JamiiForums Tanzania Manchester United (Red Devils) | Special Thread

    Kuna Mfumo Mzuri Wa Uongozi sasa hvi, Makosa ya kipuuzi kama hayo na Mengineyo ikiwemo Kuchelewa kusajili na kupelekea ( panick buying) hatuyategemei, first choice ya kocha ndo inategemewa kuwasili kila position na kila usjili [emoji3526]
  4. delavider

    JamiiForums Tanzania Mkasa wa kusisimua wa Rojaz katika kipindi cha Sitasahau cha Radio Free Africa

    ukiweka story nyingine nitag nije kusoma
  5. delavider

    JamiiForums Tanzania Must see Movies

    uzi umekwama? mbona kwangu hausogei?
  6. delavider

    JamiiForums Tanzania Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Zimezidi 12 ndo maana imekuwa Lost, kwa namna hyo ya matokeo ina maanisha gape(Tofauti ya vikapu) vianzie 12 na kuendelea, sasa hapo vipo vingii zaidi ya 12
  7. delavider

    JamiiForums Tanzania Ushuhuda: Mkojo wangu wa asubuhi ulivoniponya

    Mim Huwa naweka Maji dirishani nakunywa huku nikiangalia Movie/Series, Yaliyobakia asubuhi au jioni nikitoka job nakunywa[emoji3][emoji3][emoji3], Yanafanya kazi kweli bila kunuia?
  8. delavider

    JamiiForums Tanzania Series (Special thread)

    Naomba link ya ku download series za kikorea
  9. delavider

    JamiiForums Tanzania Manchester United (Red Devils) | Special Thread

    Hii ni kweli kabisaaa
  10. delavider

    JamiiForums Tanzania Must see Movies

    Hii ni takataka, Hakuna Movie hapo, upotevu wa bando tuu + Muda
  11. delavider

    JamiiForums Tanzania Manchester United (Red Devils) | Special Thread

    Hao hao wamemaliza nafasi ya 3 na kombe juu + Fainali ya FA, ukiongeza Mount msimu huu watabeba makombe 2, wewe timu yako ya viungo nyanya ina makombe mangap?[emoji3]
  12. delavider

    JamiiForums Tanzania Nini kilikua chanzo cha ugomvi wa Afande Sele na O Ten?

    kutaja taja majina tuu nyimbo nzimaa tenaa kwa mistari isiyo na vinaa[emoji3][emoji3][emoji3] Hii ni disi ya King Crazy GK FT. Pauline Zongo wimbo unaitwa TUPO PAMOJA
  13. delavider

    JamiiForums Tanzania Utatu wa G Records: Kazi za Roy Bukuku, G2 na KGT katika studio ya G Records

    Baridi Kama Hili - Enika Kiss Kiss- Blue Ft. Enika
  14. delavider

    JamiiForums Tanzania Manchester United (Red Devils) | Special Thread

    Leo kipigo tuu brighton lazima wakae
Back
Top Bottom