Recent content by Dekka

  1. Dekka

    Ushauri kwa wale wanaotaka kuomba nafasi ya chuo UDOM

    Wale wanaombishia mtoa Hoja sijajua hasa wanasimamia hoja ipi:1.Makosa ya kiuandishi. 2.Upotoshaji??
  2. Dekka

    Anayejua habari za JKT

    Hapana,binafsi ni kinyume na taratibu na sheria za Jeshi kuripoti katika CTS za JKT baada ya kufunguliwa kozi.Pengine yawezekana kuingia endapo watu ulioongea nao wana vyeo vikubwa au wana nyadhifa kubwa ndani ya kikosi husika Jeshini kama CO,Lt.Col,Col.,Major na kadhalika.
  3. Dekka

    UKAWA zingatia yafuatayo kabla ya kumkaribisha LOWASSA kwenye umoja wenu

    Ama kwa hakika uchaguzi na uteuzi wa wagombea uchaguzi mwaka huu umekuwa wa aina yake.
  4. Dekka

    Kama Dr. J.P. Magufuli angekuwa mgombea binafsi, kidogo ningepata imani

    Naunga mkono hoja.J.P.Magufuli hafai na hana sifa ya kuwa kiongozi wa Taifa kubwa kama Tanzania. Ninataka kiongozi aliye onyesha nia dhahiri shahiri ya kupambana dhidi ya tatizo kubwa la 5 linaloikabili nchi yetu la UFISADI. Dekka,Samwel. Chuo Kikuu cha Dodoma.
  5. Dekka

    Obama makes first trip to Kenya as President (July 2015)

    Ama kwa hakika hotuba ya Obama ilijaa Ukweli,Uwazi,Ushauri na yenye lengo la kutupa mwanga sisi kama wa-Afrika.Ilisheheni kila suala linazozikumba nchi zetu zinazoendelea. Shime viongozi wetu,sisemi tu wa ngazi za juu,HAPANA,sasa ni wakati wa kila aliyepewa mamlaka na wananchi kuwajibika...
  6. Dekka

    Obama makes first trip to Kenya as President (July 2015)

    Ama kwa hakika hotuba ya Obama ilijaa Ukweli,Uwazi,Ushauri na yenye lengo la kutupa mwanga sisi kama wa-Afrika.Ilisheheni kila suala linazozikumba nchi zetu zinazoendelea. Shime viongozi wetu,sisemi tu wa ngazi za juu,HAPANA,sasa ni wakati wa kila aliyepewa mamlaka na wananchi kuwajibika...
  7. Dekka

    Tusaidiane: Tafsiri ya neno 'deadline' kwa Kiswahili ukitumia neno moja tu

    Tafsiri ya DEADLINE ni Ukomo. Dekka,Samwel P. Chuo Kikuu cha Dodoma.
  8. Dekka

    GE2015 Unaunga mkono Lowassa kuhamia CHADEMA na kuwa mgombea Urais?

    Kwenu Nyote, Umoja wa Katiba ya Wananchi(UKAWA) unalengo dhahiri la kuleta changamoto katika Siasa nzima ya nchi yetu.Kimsingi ni jambo zuri na la kidemokrasia. Napenda kusema kuwa Siafiki na sitoafiki kamwe hoja ya UKAWA kumteua EL kama Mgombea rasmi kwa tiketi ya Umoja.Jibu langu ni HAPANA...
  9. Dekka

    Kwanini nauli ya boat ipo juu sana tsh 25,000 kwa safari ya 2 hours?

    Suala zima la nauli yoyote sisemi tu kwamba ya Boti inategemeana na gharama za uendeshaji.Usilaumu kitu bila kufanya uchunguzi.
  10. Dekka

    Je, umehawahi kupata kazi kupitia tovuti hizi, Brighter Monday na Grab your job?

    Mfumo mzima na ulio bora katika maombi ya Ajira unahusisha utumwaji wa Maombi kupitia anuani husika ya Mwajiri/Shirika/Kampuni/Serikali. 'Website' kama hiyo na nyinginezo zipo kibiashara ili waweza kupata watizamaji(Viewers) ili waitumie fursa hiyo kulipisha matangazo katika website zao.
  11. Dekka

    Wanawake wengi wasomi au wenye kipato kizuri hawadumu kwenye mahusiano!

    Ww tu swagga zako,hakuna asiependa kuolewa zama hizi
Back
Top Bottom