Recent content by default kysh

  1. D

    Kwani mjini kuna habari gani muda huu?

    Wachana nao namimi nipewe mkuu ukiipata,
  2. D

    Wachungaji na walokole, tunagongewa sana wake zetu

    Ha ha ha mapovu lazima watoe, sema mi nimetoa arlet mwanzoni kwamba ni ukweli mchungu ila lazima waumeze.
  3. D

    Wachungaji na walokole, tunagongewa sana wake zetu

    Ni kweli wengi wenye background hizo wako hivo, labda kuna vitu wanaviona kwenye mazingira wanayokulia halafu wanagundua kuna vitu vingi wanamisi huko ubahariani. Sema hata upole huwa unazidi mno hawa jamaa, mademu ni ku-consume as if there is no tomorrow ukiwa unamshughulikia.
  4. D

    Wachungaji na walokole, tunagongewa sana wake zetu

    Ukweli mchungu, kuna mama mmoja wa kilokole nilikutana nae accidentally asubuhi na hangover zangu akaachia mzigo kirahisi sana, then akala shoo ya kutolea hangover...'nadhani mabaharia tunafahamu. Sasa usumbufu wake sio wa kawaida, yaani ni mtengeza mazingira hasa. Sasa juzijuzi kanialika kwenye...
  5. D

    Ushauri, maoni na mbinu za biashara ya ufundi simu na Computer

    Msaada mkuu, niko na simu hapa ni huawei tag l21, ni software gani nzuri ya kuitoa frp nje ya sp flash tool, maana nimejaribu qualcomm naona nikiirun inakuja na ile error ya mfc100.dll japo nshainstall zile updates za ms visual c++ lakini bado qualcom haiendi msaada tafadhali wakuu.
  6. D

    Ushauri, maoni na mbinu za biashara ya ufundi simu na Computer

    Great sana chief, haya mambo yanahitaji kujifunza sana na technology inakua, nadhani mtu ukiwa competent lazima ikulipe sana. Wacha nijifunze hivi vitu vizuri mpaka niive, usichoke maswali mkuu
  7. D

    Google yatangaza kuacha kufanya kazi na Kampuni ya Simu ya Huawei! Yasema imefuata amri ya USA

    Dah mkuu hawa watu sijui huwa wakoje yaani, katika kuhangaika nshafanya kazi na muhindi, mchina na mvietnam. Hawa wote takataka aise kwenye utu sawa ila ukweli utabaki palepale hawana utu, tukipata kona ya kusemea tunasema ubovu wa hawa watu
  8. D

    Google yatangaza kuacha kufanya kazi na Kampuni ya Simu ya Huawei! Yasema imefuata amri ya USA

    Sio watu wale, yaani ni wanyanyasaji kuliko. Nna kisimu chao cha Huawei, potelea pote acha wafyekelewe mbali na wao waonje joto la jiwe
  9. D

    Hakuna Heshima kubwa kwa Mwanaume kama Mwanamke kuutambua UUME wako Kabla hata Hamjakutana Kimwili.

    Hata aliyekunywa sumu ulishuka naye jumlajumla? kama ndio safi sana nakuunga mkono mkuu
  10. D

    Serikali futeni elimu ya kidato cha tano na sita, haina faida

    Kwahiyo tunakubaliana kwamba hiyo level inaumuhimu wake kwa upande wowote, hawa wasioona umuhimu wanatoka wapi?
  11. D

    Serikali futeni elimu ya kidato cha tano na sita, haina faida

    Ukweli mtupu, mwambieni huyu jamaa, A level ni muhimu kwa PCMs na P.. Nyingine lakini hawa H kunan four inatosha sana hata chuo hamna haja, Maana mpaka kule bado utakuta wako na 'What in noun'?
  12. D

    Walimu wa Sekondari walioomba ajira za Serikali, wajiandae Kisaikolojia

    Themanini elfu auuu! kama ndio hiyo nayo ni zaidi ya hatari wadau
  13. D

    Walimu wa Sekondari walioomba ajira za Serikali, wajiandae Kisaikolojia

    Yes, hapa atleast hawa wa msingi watapoozwa kidogo, ila dah nikikumbuka na pilinge za kile ki-system chao,, anyway ni kukaza mwendo mpaka migongo ivunjike.
  14. D

    Mwanaharakati na kada mpambanaji wa CHADEMA ndugu Steven Moses atoweka katika mazingira ya kutatanisha wilayani mufindi (Mafinga)

    Kama ni kweli hii movie ni ya kitoto sana na inaonekana hakuna maelewano katika uratibu wa mipango yao. Ndo maana hadi source ya hayo yote imejulikana mapema, au ndo posho kiduchu kwa watukazi? Shame on them. All in all nilipita asubuhi kwenye page ya dada na huyu jamaa nikaona hii notice nika...
Back
Top Bottom