Recent content by Deepa

  1. D

    Okoeni uchumba huu - msaada

    Kwani alikwenda wapi? bse alipotea!
  2. D

    Jinsi nilivyovalishwa sanda na mganga kisa mapenzi...

    Ukipost part II pls call me.
  3. D

    Jinsi nilivyovalishwa sanda na mganga kisa mapenzi...

    Pole ndugu yangu, post yako imenifanya nimshukuru mungu sana kwa mitihani michache niliyopitia, kumbe kuna wengine wamepitia magumu zaidi. Ila nikwambie kitu, usihuzunike kusababu huna mtoto amini kuwa Mungu anakusikia ila anatafuta muda mzuri akujibu maombi yako na akupatie mtoto mwema...
  4. D

    ipo siku nitampiga makofi wife akiwa anasali

    mbona kosa na adhabu unayofikiria haviendan! Ukimpiga ndio atajua ni kiasi gan unachukia tabia yake? Je ndio system unayotumia kusolve matatizo yk ktk ndoa? Kama ni yes, badilika mkuu.
  5. D

    Wakaka, hata kama hujampenda mdada, mtimizie

    Ulivyojibu umezunguka zunguka. Haya babu DC, ila ujasema kama ungekubali au ungekataaa. Mi nataka hapo tu.
  6. D

    Wakaka, hata kama hujampenda mdada, mtimizie

    Haya atakuja kunipa ushauri. Lakin mm c nimekuuliza tu au nimekosea?
  7. D

    Wakaka, hata kama hujampenda mdada, mtimizie

    Mmmmh Nimesoma vzr post yako naona kama unapenda ila kuna kitu kinakuwekea kauzibe. je mfano akatokea mtu akakutaka na hizo mvi zako, utakubali au utakataaa? Wapo wanaotamani mvi zenu ujue?
  8. D

    Mume wangu anacheat nifanyeje?

    Kama hakuna la ziada nnakwenda kufanya nn? na pia kwann hamuendi moja kwa moja mnarejea kwa wake zenu? hamuoni kuwa mnawaumiza wake zenu wanaokupendeni na kuwajali?
  9. D

    Mume wangu anacheat nifanyeje?

    Ukiacha gonjwa mkuu, unajidhalilisha mwenyewe pia. Unajua kufanya jambo kisa mwenzako kafanya ni kujiumiza pia.
  10. D

    Maneno mapya ndani ya mmu yamkosha wife na kunogesha penzi

    We inaloaga mkuu, genye ikipanda na papuchi iko mbalii...utakomaje!
  11. D

    Trust katika Mahusiano

    Mm binafis napenda sn kuaminiwa na mtu akiniambia uongo huwa naumia sn. Kusema ukweli katika mahusiano ni kuimarisha mapenz/ndoa. Nashukuru mume wangu anajua kuwa huwa sisemi uongo na ananiamin sn hadi naogopa.
  12. D

    Trust katika Mahusiano

    leo naomba niseme hii, tangu nimeingia JF miongoni mwa wadada ninao wapenda ww ni mmoja wao. Unajua kwann? Bse una mambo kadhaa ambayo ninayapenda. Maisha yako huigizi (nionavyo mm) Huu uzi umenigusa sn ila ctachangia bse nimelate na najua wadau wengi watakuwa wamesema mengi. Ila unajua nn...
  13. D

    Nimeichoka 'Samahani' Yako (sorry is a Sorry Word)

    Mmmh, pole mkuu,ila umevuna ulichopanda. Jipange tena.
  14. D

    Sababu zinazopelekea mpenzi wako kukuchoka au ndoa kuvunjika hizi hapa

    mkuu co kila unapoitwa unakuja tuu. Mada inazungumzia ndoa na sababu za kuchokana, hii haijalishi una mke 1 au 10. Sasa ulichokiandika ni kutaka mdaharo mwingine ambao haupo hapa. Au ndio lazima uandike ili uonekane upo...tafuta sread yako uanzishe hiyo mada mkuu.
  15. D

    Na wewe na mpenzi wako ni hivi au mimi tu nishaurini jamani....!

    uhusiano utakuwepo, hata mm huwa najickia kulia lia tu na hacra zinakuwa juu sana. Mume wangu ni medical doctor huwa ananiambia nipumzike muda mwing na anakuwa mpole nikikacrika. Yy ndio aliniambia kuwa nina hilo tatizo nikikaribia mp.
Back
Top Bottom