Okoeni uchumba huu - msaada

Okoeni uchumba huu - msaada

pole sana kwa yaliyomkuta bwana mdogo, aonane na wataalamu wa afya kwa ushauri na matibabu.
"sex b4 marriage is a sin"
 
Kwa kuwa body temperature hupanda tupatapo homa mshauri awe anamsuuza auguapo malaria.
 
hahahaha watu wana maneno humu dah! eti awe anamsuuza wakati anapokuwa na homa!!!!
 
hamna mwanamke wa baridi bana... mpashe!!

2Q==

ushasema hakuna mwanamke baridi sasa ampashe wapi.....kuna wakati inakuwa friji na oven dunia ina mambo
 
Kuna wanawake wa aina tofauti, Wengine wana joto na wengine wanakuwa wa baridi. Kuna wengine wana maji kama mto rufiji na wengine wakavu kama singida hivi!(usiombe kukutana na wa hivi ,utaahirisha mechi hata dk 10 hazijaisha!) Ndoa/nyumba huficha mambo mengi sana ambayo watu wanakutana nayo ila wanayavumilia. Sio kila mtu anaenda kuomba ushauri. Mwambie aiweke psychology yake iendane na anayokutana nayo then atakuwa anajigijiii kama kawaida. Haya ni madhara ya kutiana na mtu huku unawaza utamu wa mwingine!
 
Jamaa avumilie kwani hakuna mwanadamu asiyekuwa na kasoro. Hata yule alikuwa naye chuo alikuwa na kasoro ndiyo maana akamwacha.
 
hamna mwanamke wa baridi bana... mpashe!!

2Q==

Exactly matatizo yaliyoelezwa yanatofautiana kwa asilimia zote na biological make up ya mwanaadamu, huo ubaridi labda ni hisia tu za jamaa hasa kama anategemea awe wa moto kama huyo wa tumaini.

Mi naamini huyo binti ana nyuzi joto za kutosha maungoni mwake.
 
kumbe tuko wengi tusio lijua tendo la uchumba nilifikiri niko peke yabgu mimi ninafikiri ni wa baridi kwa sababu wanafanya tendo la uchumba watakapo anza kufanya tenda la ndoa baada ya ndoa atakuwa wa joto tu.

wanapaka rangi uzinzi eti tendo la uchumba. huyo jamaa amefahamu kuwa huyo ke ni baridi kwa sababu anamfahamu ke wa moto. uchumba wa siku hizi una hadi tendo la uchumba! ha ha ha ha ha ha!
 
Mwambie akue kidogo kabla hajaoa...
 
hebu subiri kwanza, k ikiwa ya baridi mboo haipiti?
 
Ilo tatizo liko kwa wengi wengi sana sema mzaha umezidi sana badala ya kutoa njia mbadala.
Tatizo anakuwa nalo msichana kama,aliwahi kubakwa, au kushiliki mapenzi na ndugu wa karibu sana au kuona mwanamke akiingiliwa kwa nguvu naye kujenha picha kwamba tendo la ndoa ni mateso hivi.hata kama atashiriki ni mchumbake sasa hivi ni kutimiza wajibu tu yeye hafurahii. Sasa tiba ya tatizo la huyo dada ni kujua backgound yake kwa undani.


Ebu sikia hii:
Zamani UCHAGANI wasichana walikuwa wanakamatwa kwa nguvu na kuozwa na mtu ambaye yeye hampendi.wanawake wa kichaga wengi waliathirika na utaratibu ule na kuna maapizo mbalimbali hufanya.matokeo yake wanawake wengi wa kichaga mbali ya kuwa wanamvuto sana lakini ni wanawake baridi sana tena mno.na wengi wao hawapendi kuolewa-nimetoa mfano huu kwa ajiri ya kuelimishana na sijatoa kukashifu mtuvwatu.sorry
 
Naombeni kuuliza wajameni! Hivi watu wanaoana kwaajili ya sex eeeh!

ktk maisha kuna mambo mengi sana ya muhimu. unaweza kuta mtu kwenye sex yuko vizur sana lkn kwenye mambo mengine muhimu ya maisha anaboa hilo nalo ni tatizo, unaweza kukuta kwenye mambo ya maisha yuko poa sana ila kwenye sex anaboa hilo nalo ni tatizo. Hivyo ni vyema ukapata mtu ambaye yuko balanced.
 
Back
Top Bottom