Tofauti inaoneka wazi kati ya wazamani na kuanzia era ya wema. Wazamani wote wanafshule na kazi za maana. Yani wema km kawatia gundu wenzie. Huyu wema agent wa shetani nini? Yani ye ndo km kalitia doa shindano la ma miss
Ndugu Pdidy pole sana ndugu yangu najua una hasira km mimi. Ht mi mwanzo niliwalaani sn lkn baadaye nikaja kuwaelewa kwamba hawakuwa na nia ya kuomba msamaha bali ni NJAA ndugu yangu.
Hebu firikia mwenyewe, hao watu serikali ilikuwa ndo inawatema wkt washapigika kusoma miaka 5 i.e bila ajira...
Jueni kwamba hawa watu kujidhihirisha wazi ni every sign kwamba ile siku imekaribia i.e anti christ anaanza kazi yake.haya mambo yalikuwa siri kubwa zamani,jiulize why disclose now? Mwenye masikio na askie
M'kiti wa freemasonry akihojiwa na Gerald Hando wa clouds TV asema kuwa freemason hamna ubaya na hamna mahela km wengi wanavyodhani bali it's all about networking na kusaidia jamii.Kaipamba freemasonry vibaya sana na kukaribisha watu wajiunge. Ama dunia imeisha, yani mambo hadharani!
Naskia kuna mashoga wawili walipigana after press conference flani hivi mwaka jana wakimgombania kila mmooja alikuwa anadai "wangu mie, wangu mie!!". Shigongo mwenyewe kuona hivyo akaingia mitini
Sikapendi haka katoto. Kanatafuta umaarufu kwa nguvu km Lulu wa Kanumba.Halafu role model wake ni Wema sepetu. PATA PICHA! Sijui kataishia wapi tufuatilie hii tamthilia yake,,,yasije kuwa ya km ya Lulu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.