Kama unaona Kenya au Tanzania ipo juu katika upande wa music and entertainment market, let us know with evidence na nchi gani musiki unalipa kati ya hizo nchi mbili.
Dah hua nafurahi sana kusikia kunanchi zimeanza kuitumia lugha ya kiswahili kama lugha inayotumika mashuleni au hata kuipitisha kuwa lugha ya taifa kama majirani kenya na kwasasa nchi zote zinazo izunguka tanzania kwenye mipaka yote zinaonge kiswahili sio chini ya 30% wakiongozwa na Kenya ambayo...
Ndugu wataalam wa blogs msaada jaman nimefungua blog kupitia blogspot nimeiverify na google console nikaiunga na TAG MANAGER lakin bado haionekan kwanye GOOGLE SEARCH chochote unacho kijua ni msaada tosha usijidharau ndio tunaeleweshana msaada jaman
natanguliza shukran zangu
Siku mwalimu mwalimu nyerere akirudi atashangaa kuona mabadiliko yaliopo mwalimu atashangaa akiona lile shirika kubwa EA la ndege likifa alafu lile dogo linazidi kuchipukia Mwalimu atashanga akiona zile flyover za majirani znaonekana kama tudaraja tudogotudogo akizicompare na za nchi yake...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.