Tissaphernes
JF-Expert Member
- Mar 27, 2018
- 2,903
- 3,549
Kenya Ukiona Demu mkali au kisu jua ana asili ya Somalia au Mombasa.
Nenda Eld uone sura ngumu
Nenda Eld uone sura ngumu
Watu kama hawa kwamfano wanawezaje kupeti peti
wanatupenda wabongo tunajua kujali.
Wakenya wenzao hawachelewi kuwatafuna masikio
Wanapendwa wenye hela zao jomba
MK254@Mk254 toa tamko wasomaji tusije yaamini ya mchangia mada.
kwani dada zenu wanajiuza?
Heri wenye shobo kuliko wale wenu video zao huvuja...
Byda, km huna hela sahau mdada wa kenya..
Ama basi labda ukubali kufugwa km pet km vile ben pol
Wa Kenya wengi wana sura nzito afadhali kwa Mombasa tu wamechanganyika na waarabu wa pembaHujakutana na visu vya kikenya wewe... mwambie @pingl-nywee akuonyeshe dada zake wa humu uone venye wakoo msee
jibu hoja hayo mengine cc hatuyajuiMombasa vs Dar es Sluum inakutoa jasho ikabidi ujaribu kuhepa kwa kufungua nyuzi nyingi eti "ku-neutralise" lakini wapi? Bado tutachangia Hadi humu . Umeona aje dual carriageway za Mombasa kushinda za Dar? 😂
Our 2nd City is at par with your only City.
Huyu jamaa ndio alipewa Ps4?Mtaachaje kuwapapatikia kwa mfano? View attachment 1243848
Hahahaha, upepo wa kisulisuli umeshafika Kenya, wanajileta kwa kasi ya ajabu.
Nyinyi na Nani?jibu hoja hayo mengine cc hatuyajui
Heri wenye shobo kuliko wale wenu video zao huvuja...
Byda, km huna hela sahau mdada wa kenya..
Ama basi labda ukubali kufugwa km pet km vile ben pol
Hhhhhhhhhhhhhhhhhhhh dah hii kauli yako ya ben pol kufugwa km pet imenimaliza
Tulia jomba!!hujambo kwanza
Aisee niko poa bro.
Ulipotea sana kwel...
Ama ndio upambanajo tena
Hahahaha, upepo wa kisulisuli umeshafika Kenya, wanajileta kwa kasi ya ajabu.
Dah kaka mm ni mwanachuo bado halafu ni mjasiriamali pia na pia mke ananisubiri.
Lazma ubize uwe mwingi kaka.
Waschana Wakenya wamegundua kwamba yeyote akiwa superstar Bongo huwa hataki madem wa kibongo tena maanake wengi wao wako shallow and uneducated. Mastar wa bongo hutafuta mademu wa Kikenya sana ndio wawachanue yaani, our women give bongo superstars the class that bongo gir;s can never meet. Ndio maana warembo wa Kikenya huchukua advantage. Lakini hutampata mrembo wa Kikenya akimfuata boya fulani kwa jina Joto la Jiwe...........