Recent content by Decision

  1. D

    Je, ni kweli kwamba wanawake weupe ni wazuri sana kuliko weusi?

    Inategemea tu jamani msitutenge weusi Sent using Jamii Forums mobile app
  2. D

    Tumeachana ila bado analalamika nikiweka picha za wanawake wengine mtandaoni

    Ndo mana mkiomba picha tunawapa picha za uongo na majina ya uongo na stori za uongo kwasababu ya umbea!! Sent using Jamii Forums mobile app
  3. D

    Tumeachana ila bado analalamika nikiweka picha za wanawake wengine mtandaoni

    Tushaachana ila no yangu anayo yake ninayo nimepost picha ya EX wangu wazamani anaumia kwanini nimempost EX wangu kwanini bado anaumia wakati ye ndo kaniacha nashindwa kuwa free.
  4. D

    Nifanyeje nisilione hili neno

    Ili neno COVID moja tisa sasa kwangu limekuwa chukizo na kunikatisha tamaa ya maisha kutokana na taarifa mbali mbali ninazoziona mitandaoni kuna mitandao naipenda lakini kila nikiingia saizi ni taarifa za covid tu hasa ninaposoma mambo ya dawa ambazo zinatangazwa tangazwa ovyo bila uthibitisho...
  5. D

    Ushauri wenu muhimu

    Naanza,kuongea ongea Sent using Jamii Forums mobile app
  6. D

    Ushauri wenu muhimu

    Simaanish mambo ya umbea mimi sio mmbeya yan mfano kama nimesikia kitu kusu mimi nakuwa sio mvumilivu yan lazima nipanic Sent using Jamii Forums mobile app
  7. D

    Ushauri wenu muhimu

    Najikuta kutoweza kaa na kitu moyoni yani nikikisikia tu situlii nacho nataka kuacha hii tabia nifanyeje nina mtindo wa kupanic. Sent using Jamii Forums mobile app
  8. D

    We had to keep our love in secrety

    Ha ha ha ila we mpekuzi! Sent using Jamii Forums mobile app
  9. D

    We had to keep our love in secrety

    Ni PM tu may be we can discuss more and we can share any idea. Sent using Jamii Forums mobile app
  10. D

    We had to keep our love in secrety

    Aliyekuambia najifunza lugha nani dah jamani! Sent using Jamii Forums mobile app
  11. D

    We had to keep our love in secrety

    But before that he started to show different things to me.he said to me like age is passing let broke this love. Sent using Jamii Forums mobile app
  12. D

    We had to keep our love in secrety

    PM me please! Sent using Jamii Forums mobile app
  13. D

    We had to keep our love in secrety

    Thank you for your good advice! I will. Sent using Jamii Forums mobile app
  14. D

    We had to keep our love in secrety

    He did some mistake to me so i tried to find some advice to his friends and relatives in order to solv our conflict but it was a big case after knowing this he didn t want to hear anything from me since that day! He started to shout about it. Sent using Jamii Forums mobile app
Back
Top Bottom