Barabara ya Makongo - Ardhi University imekua kero kubwa.Hii ni ring-road but ujenzi umeishia upande cha Goba. Magari yanayopita hii barabara ni mengi, more than 70,000 per day. Tunaomba TANROAD wajitahidi, wamalize ujenzi wa barabara hii. Kwa kweli imekua ni kero kubwa kwa watumiaji na wakazi...
Hongera mkuu wetu wa Mkoa wa DSM, Mh. Paul Makonda kwa kuimbuka barabara ya Ardhi-Makongo Juu-Goba mbele ya Mh. Rais, JPM.
Sikiliza kuanzia dk ya 45.00 mpaka 46:20
Hongera JPM, Hongera Makonda, Hongera wana DSM, Hongera watumiaji wa hiyo barabara!
Sawa but kuanzia Goba kwenda Makongo imejengwa na TANROAD. Kumbuka hii mojawapo ya "ring road' ambayo TANROAD waliainisha kuijenga kwa ajili ya kupungu foleni katika jiji la Dar.
Habari Wadau,
Tunaomba mwenye kujua kinachoendelea kuhusu ujenzi wa barabara ya Ardhi - Makongo Juu - Goba (kipande cha Ardhi - Makongo Juu). Ni muda mrefu umepita, kumekua na sintofahamu, na wananchi hatujui kinachoendelea.
Kwa jinsi ujenzi wa Interchange ya Ubungo unavyoshika kasi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.