Safi, basi weka kipind au uanzishe uzi mwingine ili usiingiliane na huu uwe unaelezea Dawa na inatibu nini, ili walau huyo kiumbe wa fimbo watu wa jF wafaidike nae,
unaeza elezea ugonjwa huu na huu Dawa yake ni hii hii, au ukichukua hiki na hiki ukafanya hivi kinatibu hivi hapo kwa week...
page no 78 nimeuliza maswali mawili ila hujajishughulisha kabisa, nitakumbushia mpaka ujibu maana yamekua maswali yangu 3 sasa ambayo unayapita tu.
Lingine niliuliza juu ya makanisa fake na manabii fake utupe list ila kimya.
Pia Simba emu zungumzia tiba.
mfano kama ulivyoanza habari ya huo udongo, sasa anza kusema ukiwa na tatizo hili na hili tumiq hiki na kile, au kuna mti flani au dawa flani inatibu mambo haya na haya na haya.
watu watajatibu humu wataleta mrejesho na baada ya week au mwez watakua wamenufaika...
Uzi wako Simba toka day 1 mpaka leo umesema mengi na kiumbe wako.
ENatamani utuelezee amekufanikisha vipi kwenye maswala ya Uchumi mpaka sasa upoje na unamiliki nini?
vipi kisiasa?
vipi ki elimu ya Darasani umesoma mpaka Elimu gani maana kama ukimtumia huyo kiumbe ki elimu ya Darasan huenda...
Muulize Kiumbe wako akutajie majina ya manabii fake au Makanisa yao uje na Orodha, [Angalizo lijibiwe streight bila kupigwa chenga au kujibu kisiasa]
Au kama alikwisha sema tuambie, ukwel wa kina Zumaridi
corazon
IT huwa hana kosa, IT anakua ameshaingiza details zote na zipo tayar anangoja tamko la kiongozi ku upload mzigo.
So kiongozi akisema keaho asubuh release mzigo au jion kitu kinaitika, ila IT hawez achia mzigo pasipo order toka juu. Ova
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.