jamani hebu mwacheni baba wa wat apumzike kila siku kumsakama tuu kwanilazima na yy awepo msibani utajuaje labda alimtuma mwakilishi
MWACHENI APUMZIKE BABA WA WATUUU
Mkuu ni jambo jema ulilolianzisha
Me naomba kujuzwa juu ya hii ya kuhusu walioapplay ualimu diploma je kama hauko selected unafanyaje na wamesema usibadilishe machaguo wakat mwisho wa application ni tr.5.8.2016 Mimi ni muhanga
Habari zenu wakuu
Naomba msaada kuhusu nacte kutokana na kua niliapplay diploma in primary education inanionesha sijachaguliwa lkn ktk vyuo vyote inanionesha ninanafasi nisubiri second selection. Na ktk hivyo vyuo idadi ya walioomba ni kubwa kuliko uwezo wa vyuo sasa nashindwa kuelewa je...
Ni kweli mkuu namba za nacte ukizipata ni bahati sana mara nyingi unaambiwa hazipatikani au inatumika na inaweza ikawa hivyo mpk ukachoka mwenyewe me naona ni bora tyu kufika ofisi zao kwa msaada zaid hapa nilipo nawaza ni bora tyu niende ofisini kwao ili nijue mbivu na mbichi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.