Kuna kauli moja maarufu ya kiitelinjensia inasema 'once is an accident, twice a coincidence and three times is an enemy in action'.
Kujirudia kwa kauli na msisistizo wa T.L kutaka kugombea Uraisi 2020 baadhi ya watu wanajiuliza je, ni bahati mbaya au matokeo tu ya shambulio lake.
Hiki...
Huwa nashangaa Mungu anapohusishwa na sinema hii ya kihindi.
Huyu steringi aliyepigwa risasi zaidi ya 30 na wahusika kuondoka bila kuhakiki mwili/target yao kama imekufa.
Tundu lissu a.k.a Mitoun chakaraboti a.k.a kitunguu swaumu.
Punguzeni ujinga na mtuonyeshe utimamu wenu.
Usichokijua wewe ndezi ni kuwa..plasma on tv can only last for 100,000 hours...the long it stays on ina age na kuwa dimmer. Sasa mchogo huo miaka miwili wapi wapi..kuwa na akili dogo
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.