Recent content by ddsmchau1712

  1. D

    Unaweza kutumia Rice-cooker kuchemsha uji?

    Rice cooker zipo za aina nyingi, zipo ambazo zinapika wali tu!!... Lakini pia zipo ambazo zina uwezo wa kupikia samaki kama mchemsho n.k lakini si kumkaanga!! Na zinakuwa na special plate kabisa ya kumweka samaki wako wakati ukipika mchemsho!!
  2. D

    Sare za bar!!

    Hahahahaha... njozi njema!!
  3. D

    Sare za bar!!

    Hivi inakuwaje kijana au msichana wa watu umevunja kabati... ukajikoki kwelikweli, yaani ile yenyewe.... na ukichukulia ndio mtoko wa kwanza na boyfriend/girlfriend mpya uliyemaliza soli sana kupata "YES" yake ya kutoka na wewe jioni. Mnachagua bar moja safi kabisa iliyotulia... mnafika hapo na...
  4. D

    Mademu acheni hizo banah!

    Sorry wadau.... Post hii imeingia kimakosa hapa.... Nitaipost kwenye page mpya.
  5. D

    Mademu acheni hizo banah!

    NJAA ZITAWAUA ------- NYIE!!!! Inakera sana wadau!... umetoka zako home, may be upo na taxi or private car unamwaisha mgonjwa wako hospitali... mara hao wazee wa feva "POLICE TRAFFIC"... unawaeleza unawahisha mgonjwa hospitali na yenyewe yanaona kabisa mgonjwa huyo hapo.... basi hapo yataanza...
  6. D

    Mademu acheni hizo banah!

    Hahahahahaa.... nimekusoma mdau.... kazi ipo @ Harufu
  7. D

    Mademu acheni hizo banah!

    @ HARUFU, Wanawake kuwa na gats za kutongoza si kosa kabisa kwani wao ni binadamu na wana hisia kama mtu yeyote yule. Tatizo wewe hujaelewa what was the point!!?... the point is... inakuwaje hata sijakutongoza, hatujuani bado...unaanza habari za oooh nina shida ya laki moja.., ooooh elfu hamsini...
  8. D

    Mademu acheni hizo banah!

    Hahahahaha.... kibwebwe unatambaa nazo tu!!!
  9. D

    Mademu acheni hizo banah!

    Inashangaza sana wadau, najua wengi watakuwa wameshakutana na vimeo vya aina hii. Demu unakutana naye some where, barabarani, vyuoni, au sehemu yoyote... may be kwenye bus unatoka zako Dar kwenda Moro.... mmekaa siti moja, story hakuna...lakini mnapofika kibaha maili moja kwa kuwa ww umekaa...
  10. D

    Sports Extra ya Clouds Fm

    ..............,....
  11. D

    Money talks.... Ni noumaaaa!!!

    y Mademu wa Mjini wanaishi kwa Mbinu sana.Wanaishi kwa ile Methali ya Wahenga wa Zamani,Mkono mtupu Haulambwi.. We ukikazana na I love You I love You Nyingiiiii mwenzio walaaa hazimshtui.. Wiki ya 1: Baby Goodmorning..Anajibu MRNG.TC...Hataki longolongo... Babe umekula..anajibu Yah,why not...
  12. D

    Mademu wa siku hizi ombaomba mnooo!!!

    y Mademu wa Mjini wanaishi kwa Mbinu sana.Wanaishi kwa ile Methali ya Wahenga wa Zamani,Mkono mtupu Haulambwi.. We ukikazana na I love You I love You Nyingiiiii mwenzio walaaa hazimshtui.. Wiki ya 1: Baby Goodmorning..Anajibu MRNG.TC...Hataki longolongo... Babe umekula..anajibu Yah,why not...
  13. D

    Sisi Sio Malaya wala Madadapoa

    Duuh SISTA umenitaja kwenye post yako mpaka nimeogopa!!? Any way unadhani ukianzisha mahusiano na mwanaume unategemea nini!? Nini huwa ni malengo yako kwenye mahusiano? Na nini huwa tahadhari kwako? Maana wanaume waoaji tupo wachache na wengine ndio tumeshaoa hivyo!! Kazi unayo!!!
Back
Top Bottom