Mademu acheni hizo banah!

Mademu acheni hizo banah!

Mpira wa penati daima hupigwa kwa kulenga golini.........hapo ni kupiga tu hata kabla refaree hajaruhusu
 
Jaman for sure izi mambo uwa zinatokea..mi mwenyewe nishatokewa ila nilikuwa bado mwanafunzi O-level shule flani ivi iringa, nakumbuka nilikuwa na washkaji zangu wawili tukapanda basi moja na wadenti wengine wa iringa girls..(wao walikuwa kama 6 hivi),huwezi amini tuliwateka wote na story zetu tukawa washkaji sana full story za kiuanafunzi ila bahati mbaya gari likaharibika mikumi ikabidi tubadilishiwe tukapandishwa kwenye costa lililokuwa linaishia moro (sisi tulikuwa tunaenda dar)..Nakumbuka moro tulifika saa kumi jioni kutokana na mob tulivokuwepo tukakubaliana wote tulale moro then kesho yake tuendelee na safari, daaah hapo ndipo majanga yalipotokea maana kila mtu alimchukua demu mmoja tena wao walikuwa wanagombaniana maana walikuwa wengi zaidi yetu...kiukweli washkaji zangu kila mmoja alit.o.m.b..a mademu wawili ila mi nililala na mmoja tu (sio kama najisfia ila alikuwa mzuri kuliko wote)..sitasahau iyo siku mana tulikamuana bila kutongozana wala nini..
 
Wasipofunguka mnalalamika wanawake wanaogopa kutongoza wanaume kwanini wanaume ndo wanakuwa watongozaji, haya zali la mentali linakudondokea mtoto anakutongoza unaanza kulalamika.

Kweli nimeamini hakuna utakachokifanya hapa duniani kikakubalika na wote - ukinyamaza utaambiwa huongei, ukiongea utaambiwa anaongea sana, ukikaribishwa chakula ukikataa(ukisema nimeshiba) utaambiwa unaringa/una maringo ukikaribia ukiondoka watakusimanga jamaa hataniwi, usipojaribu utaambiwa hutaki kujaribu na utakapojaribu utaambiwa kwanini umejaribu. Na kuendelea....

Basi sisi binadamu nafikiri hatujielewi.
 
@ HARUFU, Wanawake kuwa na gats za kutongoza si kosa kabisa kwani wao ni binadamu na wana hisia kama mtu yeyote yule. Tatizo wewe hujaelewa what was the point!!?... the point is... inakuwaje hata sijakutongoza, hatujuani bado...unaanza habari za oooh nina shida ya laki moja.., ooooh elfu hamsini from no where!!.. kuna siku mtavamia majini!!! .... au tongoza ya mademu ndio hiyo!? Labda Harufu utuambie kama swaga za kike za kutongoza zinaanza kwa virungu may be unaweza kueleweka (na wachache lakini sio mimi) tukubaliane tu huo ni ulimbukeni wa baadhi ya mademu wanaoendekeza njaa... na haya mambo hakuna asiyefahamu yanawacost sana!!! Bado nasisitizia hao mademu wachache... ACHENI HIZOOOOO!!!!
 
kwani machangu wana alama usoni. Huko kwenye mabasi kuna machangu pia.
 
@ HARUFU, Wanawake kuwa na gats za kutongoza si kosa kabisa kwani wao ni binadamu na wana hisia kama mtu yeyote yule. Tatizo wewe hujaelewa what was the point!!?... the point is... inakuwaje hata sijakutongoza, hatujuani bado...unaanza habari za oooh nina shida ya laki moja.., ooooh elfu hamsini from no where!!.. kuna siku mtavamia majini!!! .... au tongoza ya mademu ndio hiyo!? Labda Harufu utuambie kama swaga za kike za kutongoza zinaanza kwa virungu may be unaweza kueleweka (na wachache lakini sio mimi) tukubaliane tu huo ni ulimbukeni wa baadhi ya mademu wanaoendekeza njaa... na haya mambo hakuna asiyefahamu yanawacost sana!!! Bado nasisitizia hao mademu wachache... ACHENI HIZOOOOO!!!!
Nilikuelewa sana mkuu ndo maana nikasema vilungu ndo njia rahisi ya wao kujirahisisha au kutongoza, dijitali hii mkuu

Wewe unafikiri zamani ambapo mimi na wewe hatukuwepo hapa ulimwenguni tabia kama hizi zilikuwepo? Maisha yamebadilika sana
 
Si afadhali hao angalau unaonana nao uso kwa uso halafu wanakupiga kirungu, nashangaa wale wanaomba kupitia mitandao ya kijamii hasa Badoo - na ukweli kuna midume mengine wanarusha pesa kwa watu wasiowajua.
 
ivi jamani hebu kuweni wakweli hizi mambo zinatokea kweli?? na kama zinatokea mbona kila mtu najifanya kuombwa hela si shida kwake, halafu mnajidai eti wadada wanaishi maisha fake...nyani haoni lakeeeeee
 
aaahahahaaaa umenichekesha sana mkuuu daaaa wanawake tunatabu
 
Jaman for sure izi mambo uwa zinatokea..mi mwenyewe nishatokewa ila nilikuwa bado mwanafunzi O-level shule flani ivi iringa, nakumbuka nilikuwa na washkaji zangu wawili tukapanda basi moja na wadenti wengine wa iringa girls..(wao walikuwa kama 6 hivi),huwezi amini tuliwateka wote na story zetu tukawa washkaji sana full story za kiuanafunzi ila bahati mbaya gari likaharibika mikumi ikabidi tubadilishiwe tukapandishwa kwenye costa lililokuwa linaishia moro (sisi tulikuwa tunaenda dar)..Nakumbuka moro tulifika saa kumi jioni kutokana na mob tulivokuwepo tukakubaliana wote tulale moro then kesho yake tuendelee na safari, daaah hapo ndipo majanga yalipotokea maana kila mtu alimchukua demu mmoja tena wao walikuwa wanagombaniana maana walikuwa wengi zaidi yetu...kiukweli washkaji zangu kila mmoja alit.o.m.b..a mademu wawili ila mi nililala na mmoja tu (sio kama najisfia ila alikuwa mzuri kuliko wote)..sitasahau iyo siku mana tulikamuana bila kutongozana wala nini..

mkuu nilishatokaga arusha naenda mahala nkakutana na mtoto mzuri kwenye basi, tumekaa siti moja zaidi ya kilometre 150 bila hata salamu, ila nikawa najiuliza uyu hata asiponisalimia mm ntampa hi tu...tukafika sehemu akajisemesha saa ngapi wakati na yeye ana simu, kijana fasta nikamtajia muda, dah kaanza kujisemesha hatufiki tu! stori zikaanza, anashuka tu kaacha namba ya simu,jioni naulizwa umefika salama, nikajibu salama, then nikaambiwa nageuza kesho ww lini! nikajibu mm next week, then nikaambiwa basi ntapita apo stend utakuwepo? mzee nilikuwa na ndinga uko nimeichaga kwa muda nikaiweka sawa next day niko stend, then hotelini kwetu....sikuamini kama siku iyo kalikuja kakiwa TAYARI TAYARI...baadae nauliza unafanya kazi gani...eti fomu4 daaah kumbe nanunua ugomvi na JK ivi viiii!!!fasta nkakimbiza stendi...tangu apo ni simu tu za salamu na vizinga vidogo vidogo...Dah umenikumbusha mbali mwanamwane!!! Ivi vitu usombe kukutana navyo!!!

Naona mnapeana uzoefu wa ufirauni wenu
 
NJAA ZITAWAUA ------- NYIE!!!!

Inakera sana wadau!... umetoka zako home, may be upo na taxi or private car unamwaisha mgonjwa wako hospitali... mara hao wazee wa feva "POLICE TRAFFIC"... unawaeleza unawahisha mgonjwa hospitali na yenyewe yanaona kabisa mgonjwa huyo hapo.... basi hapo yataanza "oooh washa taa, mbona stika yako ya bima imepauka hivyo... mara ooh hizo siti cover vipi mbona hazifanani na gari!!!" yaani ni utumbo tu...Hawa jamaa utadhani ni mapaka yamekosa msosi wiki nzima!.. mi huwa najiuliza hivi hawa wenzetu moja ya somo lao kule kwenye mafunzo yao ni jinsi ya kuomba rushwa au!!? alafu yalivyo mambilimbi yanaomba tu rushwa kama ni halali....yaani hata huwa hayajui yanaongea na nani!!?... yenyewe kazi ni kurisk ajira zao tu!!... kuna siku limoja limemkamata mtu pale fire likamwomba rushwa, jamaa akaliambia sina pesa hapa ila twende ofisini nina hela zipo huko....likaingia kwenye gari, hiloooo likaingizwa mpaka ofisi za Takukuru Makao Makuu pale upanga....lilipofika pale getini ndio likashtuka na kufungua mlango wa gari na kukimbia!!!.... ghaaaaaash....hebu jiulize hili ---- miaka yote lipo dar na ni liomba rushwa maarufu makutano ya fire pale lakini halijui ofisi za Takukuru zipo wapi!!!!?....risk...risk...risk!!!... ebana acheni hizo, kama humu ndani yupo mwakilishi wa pande hizo basi habari ndio hiyo!!!. Makavu tu hapa....trafiki au polisi yeyote akikukamata kama unaona huna kosa lolote let me tell u, do not entertain her/him!! tusiwazoeshe kiivo... hela yenyewe ipo wapi ya kugawana na mambulula hawa!!. Niwape siri moja...hata kama na wao wanasoma huu uzi, Polisi yeyote kama anafanya uonevu kwa raia, ukiwa imara na kumwonyesha kwamba unajua haki zako na unajua anachotaka kwako si sahihi....alwayz lazima akugwaye!!... nakuhakikishia wewe na nguo zako za kiraia unaweza kumtoa balu polisi yeyote mshenzi wa tabia. Jiamini tu! Ndo hayo wadau.....wanakera sana hawa...........!!!
 
Sorry wadau.... Post hii imeingia kimakosa hapa.... Nitaipost kwenye page mpya.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom